Simu ya google imeokoa maisha yake

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
Jamaa mmoja toka nchi ya Australia alinusulika kufa baada ya simu aliyokuwa nayo aina ya Google pixel 4xl kumuokoa maisha yake baada ya kupata ajali akiwa pekee yake.

Anaitwa chuck Walker anasema Kuna siku Kwenye simu yake aliona feature ya Car crash Detection akaweza kuiweka on ambayo inakupa uwezo wa kutoa msaada polisi au kwa watu wengine ikiwa umepata ajali Kwenye gari.

Ilikua novemba mwaka Jana alipopatwa na hiyo changamoto baada ya gari alilokuwa anaendesha kupinduka na kuweza kumvunja mguu na mbavu zake na milango yote ya Kwenye gari kujifunga na kushindwa kufungua kwani alikua amepoteza fahamu.

IMG_20231103_210748_347.jpg


Lakini kupitia simu iliyokuwa imetupwa mbali ajali ilipotokea iliweza kutoa taarifa kituo Cha polisi kwa kupitia 911 huduma ya dharura ambayo yenyewe iliweza kutuma ujumbe kuwa na Kuna ajali imetokea eneo fulani inahitajika msaada.

Ndipo polisi waliweza kutumia saa tatu kumtafuta Mr chuck Walker na kumpatia msaada pamoja na kumpeleka hospital baada ya kupita siku 100 aliweza kusimama Tena na kutembea.
 
Mkuu mtikisiko wa ajali ni tofaut na mtikisiko wa kawaida

Kuna feature ipo kwenye simu za Xiaomi sijajua kwenye simu nyingine ya earthquake alert View attachment 2802870

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado napenda kufahamu nadharia ilayotumika hapa,

Mfaano:- fikiria upo kwenye motion alafu simu ipo kwa dashboard, inatokea umepita kwenye tuta hujatambua kutokana na ugeni wa barabara simu inateleza inataka kuanguka, bahati mbaya katika kutaka kuidaka unakuta umeikosa ila umeiongezea mwendo imebamiza sehemu kisha imedondoka chini.
 
Bado napenda kufahamu nadharia ilayotumika hapa,

Mfaano:- fikiria upo kwenye motion alafu simu ipo kwa dashboard, inatokea umepita kwenye tuta hujatambua kutokana na ugeni wa barabara simu inateleza inataka kuanguka, bahati mbaya katika kutaka kuidaka unakuta umeikosa ila umeiongezea mwendo imebamiza sehemu kisha imedondoka chini.
I think a combination of physics and AI.

Sound sensor
Vibration sensor
GPS sensor
G-force (acceleration)
Gyroscope
And etc

These sensors collects data and kuna kua na pre-trained accidents scenarios kutest working model.

Normally wakati wa driving every parameter inakua measured via phone sensors hizo hapo juu. And then AI ina compare na pre-trained accidents models before ili kuangalia je i trigger emergency call like 112 au 119.

Specifically, kama accident imetokea there would be sudden change ya

speed (like from 100km/h to 0 to some arbitrary speed numbers like 30, 90, 10, 4, etc

Gyroscope inarecord random titl angle from ordinary road angle 0 to 45 degrees to 0, 50, 180, 26, 18 etc)

Vibration sensor would record some abnormal vibration/frequency. A human being can tolerate some level of how fast physically someone can shake/vibrate per second. Above which you’re dead.

Acceleration sensor records change in acceleration in very short duration.


Henceforth, assuming that every sensor recorded some abnormal parameters within seconds and everything stopped at this time your phone would trigger alarm alerting that we are about to call emergency center or cancel this alarm. If you do not respond then wanapigia ambulance center ya karibu and GPS sensor inatuma location simultaneously.

Although there might be false positives, that calling an emergency center when someone just fell off a tree in his backyard. You can disable this feature kama hauko in a more risky environments.

Feature improvements will increase accuracy of the system.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom