Msaada Kuondoa password kwenye Projector Aina ya DELL 2400MP

Print Fly

Member
Oct 12, 2021
50
48
Wakuu kwa yeyote mwenye ujuzi juu ya hili naomba msaada wake
DLP Projector Dell 2400MP Inahitaji password
Kwayeyote anaeweza kuifanyia kazi na kunitatulia hili Basi anicheki tuzungumze

Nimeambatanisha na picha ya hiyo projector


img.jpg
 
Mkuu inaanzia hapa kwenye Dell logo then ikimaliza inadisplay sehemu ya passwordView attachment 2079160View attachment 2079162
Then inatakiwa hard reset ifanyike kabla ya kuwasha. Vifaa vingi kama router, na electronics ndogo ndogo kunakuwa na tundu ambalo unaingiza kitu chembamba unabonyeza then ina reset angalia na kwako.

Alternative ni kuchange kifaa kama board ambalo hio password inakuwa stored, na assume kama somewhere kutakuwa na projector kama hio mbovu.
 
Then inatakiwa hard reset ifanyike kabla ya kuwasha. Vifaa vingi kama router, na electronics ndogo ndogo kunakuwa na tundu ambalo unaingiza kitu chembamba unabonyeza then ina reset angalia na kwako.

Alternative ni kuchange kifaa kama board ambalo hio password inakuwa stored, na assume kama somewhere kutakuwa na projector kama hio mbovu.
Sawa nimekupata mkuu pia nimeangalia kitundu kinachopatika nimeona kimoja tu ambacho Ni hiki
IMG20220113131431.jpg
 
Sio hicho mkuu, nimecheki online haina hard reset button.

Pia nimeona kuna uwezekano wa kui connect na pc jaribu njia hio nayo. Kama ni usb ama njia nyengine mbadala incase utapata more option huko

Samahani kwa kuvamia uzi.. Chief mimi laptop yangu Hp probook ina Bios password nimeshindwa kuitoa kwa kuchomoa rtc naomba msaada
 
Samahani kwa kuvamia uzi.. Chief mimi laptop yangu Hp probook ina Bios password nimeshindwa kuitoa kwa kuchomoa rtc naomba msaada
Hebu Tembelea hapa mkuu


Kuna njia unakosea password then kuna code inatokea kuna script ya kunegerate pass kutokea kwenye hio code.
 
Hebu Tembelea hapa mkuu


Kuna njia unakosea password then kuna code inatokea kuna script ya kunegerate pass kutokea kwenye hio code.

acha kukalili bios za zamani .hizo ni server na kama utambuliki na IT ya usb uwezi kupewa kibali cha kutoa bios mpya security.
kuanzia Apple icloud bios za mac,dell,hp,IBM na nyengine.
kikubwa kulipa tu ! hakuna lengine hiyo PPID bios
 
hiyo projecta kwenye step ya chini ya model kuna kitu kinaitwa service tag.copy hiyo PPID ziwasilishe
 
acha kukalili bios za zamani .hizo ni server na kama utambuliki na IT ya usb uwezi kupewa kibali cha kutoa bios mpya security.
kuanzia Apple icloud bios za mac,dell,hp,IBM na nyengine.
kikubwa kulipa tu ! hakuna lengine hiyo PPID bios
We umejuaje kama bios yake ni ya zamani ama mpya? Ametaja model?
 
Sio hicho mkuu, nimecheki online haina hard reset button.

Pia nimeona kuna uwezekano wa kui connect na pc jaribu njia hio nayo. Kama ni usb ama njia nyengine mbadala incase utapata more option huko
Sawa mkuu nitafanya hivyo nione inakuwaje
 
We umejuaje kama bios yake ni ya zamani ama mpya? Ametaja model?

Nimefanya kazi hii miaka 9 na zielewa na kila miaka zinatoka bios mpya kulingana na programming imeshakuwa mda mrefu kwenye kuchezewa na ma hacker
 
Nimefanya kazi hii miaka 9 na zielewa na kila miaka zinatoka bios mpya kulingana na programming imeshakuwa mda mrefu kwenye kuchezewa na ma hacker
Sasa kama laptop imetoka kabla haujaanza kazi je? Laptop ya 2010 haiwezi kuji update na kuwa na security kama ya 2020.
 
Back
Top Bottom