Una tabia ya kusahau password kwenye simu yako!

Una tabia ya kusahau password kwenye simu yako!

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,293
Reaction score
2,620
MAAJABU YA GOOGLE SMART LOCK !!

Kuna wale watu wanawekaga password kwenye simu zao alafu wanasahau kabisa wanajikuta wanataka kufuta Kila kitu kwenye simu zao [emoji3] bila kupenda ??

Relax kuanzia Leo kama umesahau password kwenye simu Yako una haja ya kuformati simu !! Kuna kitu kinaitwa Google smart lock [emoji324]

Google smart lock inakusaidia wewe kufungua simu yako kwa urahisi Sana ikiwa una tabia ya kusahau password zako za kufungua simu.

Ikiwa huko nyumbani utaki Kila mara ukitaka kupokea simu au kutumia simu kuweka password ndo utumie au umetumiwa ujumbe huwezi kusoma mpaka utoe lock wakati huko nyumbani.

Google smart lock wamekuwekea njia ya kuweza kuondoa lock simu Yako ikiwa uko eneo Fulani basi password ijiondoe automatically pia ukiwa mahali Fulani basi simu Yako huwezi kutumia mpaka huweze kutoa lock ya password au pattern Yako.

Mifumo hii imegawanyika katika sehemu kuu tatu [emoji116]

[emoji832] 𝗢𝗻 𝗯𝗼𝗱𝘆 𝗱𝗲𝘁𝗲𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻
Mfumo huu unafanya kazi ikiwa unataka kutoa simu kwenye begi lako basi kupitia mwili wako kwa kuchezesha mkono, kunyoosha juu google smart lock haitakuuliza password yenyewe automatically tu inajitoa.

Ila mfumo huu [emoji3] jamani jihadhari Sana maana mtu yeyote anaweza kufungua

[emoji832] 𝗧𝗿𝘂𝘀𝘁𝗲𝗱 𝗱𝗲𝘃𝗶𝗰𝗲
Kupitia njia hii utaweza kuchagua kifaa ambacho unakiamini Kama simu , tablet , laptop nk. Ivyo ikiwa simu Yako umewasha tu Bluetooth na imeunganisha na kifaa kingine , automatically password inatoka.

[emoji832] 𝗧𝗿𝘂𝘀𝘁𝗲𝗱 𝗽𝗹𝗮𝗰𝗲 / 𝗹𝗼𝗰𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻
Kupitia njia hii utakua una set location ambayo unaiamini, unaweza kuchagua maeneo ya nyumbani au kazini kwako. Ivyo ukiwa hayo maeneo una haja ya kuingiza password unatumia tu Kawaida simu Yako.

Jinsi ya kuseti google smart lock ni rahisi Fanya Hivi
1. Ingia setting kwenye simu 2. Security 3. Chagua smart lock kama ujaiona endelea advanced settings >> smart lock>> utachagua Sasa unataka Nini kati ya izo setting

Je umeshawahi kutumia google smart lock au ndo tunakujuza Leo tuachie maoni Yako ?

Teknolojia ni Yetu sote [emoji110]
 
MAAJABU YA GOOGLE SMART LOCK !!

Kuna wale watu wanawekaga password kwenye simu zao alafu wanasahau kabisa wanajikuta wanataka kufuta Kila kitu kwenye simu zao [emoji3] bila kupenda ??

Relax kuanzia Leo kama umesahau password kwenye simu Yako una haja ya kuformati simu !! Kuna kitu kinaitwa Google smart lock [emoji324]

Google smart lock inakusaidia wewe kufungua simu yako kwa urahisi Sana ikiwa una tabia ya kusahau password zako za kufungua simu.

Ikiwa huko nyumbani utaki Kila mara ukitaka kupokea simu au kutumia simu kuweka password ndo utumie au umetumiwa ujumbe huwezi kusoma mpaka utoe lock wakati huko nyumbani.

Google smart lock wamekuwekea njia ya kuweza kuondoa lock simu Yako ikiwa uko eneo Fulani basi password ijiondoe automatically pia ukiwa mahali Fulani basi simu Yako huwezi kutumia mpaka huweze kutoa lock ya password au pattern Yako.

Mifumo hii imegawanyika katika sehemu kuu tatu [emoji116]

[emoji832] 𝗢𝗻 𝗯𝗼𝗱𝘆 𝗱𝗲𝘁𝗲𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻
Mfumo huu unafanya kazi ikiwa unataka kutoa simu kwenye begi lako basi kupitia mwili wako kwa kuchezesha mkono, kunyoosha juu google smart lock haitakuuliza password yenyewe automatically tu inajitoa.

Ila mfumo huu [emoji3] jamani jihadhari Sana maana mtu yeyote anaweza kufungua

[emoji832] 𝗧𝗿𝘂𝘀𝘁𝗲𝗱 𝗱𝗲𝘃𝗶𝗰𝗲
Kupitia njia hii utaweza kuchagua kifaa ambacho unakiamini Kama simu , tablet , laptop nk. Ivyo ikiwa simu Yako umewasha tu Bluetooth na imeunganisha na kifaa kingine , automatically password inatoka.

[emoji832] 𝗧𝗿𝘂𝘀𝘁𝗲𝗱 𝗽𝗹𝗮𝗰𝗲 / 𝗹𝗼𝗰𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻
Kupitia njia hii utakua una set location ambayo unaiamini, unaweza kuchagua maeneo ya nyumbani au kazini kwako. Ivyo ukiwa hayo maeneo una haja ya kuingiza password unatumia tu Kawaida simu Yako.

Jinsi ya kuseti google smart lock ni rahisi Fanya Hivi
1. Ingia setting kwenye simu 2. Security 3. Chagua smart lock kama ujaiona endelea advanced settings >> smart lock>> utachagua Sasa unataka Nini kati ya izo setting

Je umeshawahi kutumia google smart lock au ndo tunakujuza Leo tuachie maoni Yako ?

Teknolojia ni Yetu sote [emoji110]
Okay good
 
Mkuu kama hutojali naomba maelezo ya kutosha namna inavofanya kazi hio ON BODY DETECTION
 
MAAJABU YA GOOGLE SMART LOCK !!

Kuna wale watu wanawekaga password kwenye simu zao alafu wanasahau kabisa wanajikuta wanataka kufuta Kila kitu kwenye simu zao [emoji3] bila kupenda ??

Relax kuanzia Leo kama umesahau password kwenye simu Yako una haja ya kuformati simu !! Kuna kitu kinaitwa Google smart lock [emoji324]

Google smart lock inakusaidia wewe kufungua simu yako kwa urahisi Sana ikiwa una tabia ya kusahau password zako za kufungua simu.

Ikiwa huko nyumbani utaki Kila mara ukitaka kupokea simu au kutumia simu kuweka password ndo utumie au umetumiwa ujumbe huwezi kusoma mpaka utoe lock wakati huko nyumbani.

Google smart lock wamekuwekea njia ya kuweza kuondoa lock simu Yako ikiwa uko eneo Fulani basi password ijiondoe automatically pia ukiwa mahali Fulani basi simu Yako huwezi kutumia mpaka huweze kutoa lock ya password au pattern Yako.

Mifumo hii imegawanyika katika sehemu kuu tatu [emoji116]

[emoji832] 𝗢𝗻 𝗯𝗼𝗱𝘆 𝗱𝗲𝘁𝗲𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻
Mfumo huu unafanya kazi ikiwa unataka kutoa simu kwenye begi lako basi kupitia mwili wako kwa kuchezesha mkono, kunyoosha juu google smart lock haitakuuliza password yenyewe automatically tu inajitoa.

Ila mfumo huu [emoji3] jamani jihadhari Sana maana mtu yeyote anaweza kufungua

[emoji832] 𝗧𝗿𝘂𝘀𝘁𝗲𝗱 𝗱𝗲𝘃𝗶𝗰𝗲
Kupitia njia hii utaweza kuchagua kifaa ambacho unakiamini Kama simu , tablet , laptop nk. Ivyo ikiwa simu Yako umewasha tu Bluetooth na imeunganisha na kifaa kingine , automatically password inatoka.

[emoji832] 𝗧𝗿𝘂𝘀𝘁𝗲𝗱 𝗽𝗹𝗮𝗰𝗲 / 𝗹𝗼𝗰𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻
Kupitia njia hii utakua una set location ambayo unaiamini, unaweza kuchagua maeneo ya nyumbani au kazini kwako. Ivyo ukiwa hayo maeneo una haja ya kuingiza password unatumia tu Kawaida simu Yako.

Jinsi ya kuseti google smart lock ni rahisi Fanya Hivi
1. Ingia setting kwenye simu 2. Security 3. Chagua smart lock kama ujaiona endelea advanced settings >> smart lock>> utachagua Sasa unataka Nini kati ya izo setting

Je umeshawahi kutumia google smart lock au ndo tunakujuza Leo tuachie maoni Yako ?

Teknolojia ni Yetu sote [emoji110]
Big up sana bongotech255 congratulation so much for good work...
 
Mkuu kama hutojali naomba maelezo ya kutosha namna inavofanya kazi hio ON BODY DETECTION
Mfumo huu huwa una set kulingana na mwili wako unavyotaka kufanya labda kwa kunyoosha mkono mbele basi yenyewe simu itajitoa lock

Au pia labda kwa kuchezesha chezesha simu yenyewe itaweza kujitoa lock
 
Mfumo huu huwa una set kulingana na mwili wako unavyotaka kufanya labda kwa kunyoosha mkono mbele basi yenyewe simu itajitoa lock

Au pia labda kwa kuchezesha chezesha simu yenyewe itaweza kujitoa lock
Mbona iyo option kwny sim yang cjaiyona natumia Tecno spark 8c
 
Back
Top Bottom