Msaada: Kuna mtu amehack simu yangu

Msaada: Kuna mtu amehack simu yangu

Hili Janga liiliwahi nitokea na nililipoti hapa JF,

kwangu mm issue ilikuwa mdogo mtu(kike) anataka niachane na dada ake,

so alikuwa anapata each and everything ninavyo fanya kwa sim,yaaini mail,whatsapp,viber,yahoo na msg plus voice..

Kuna siku nilibadili pass ya Gmail baada ya kushauriwa na wana JF,nilivyo badili to Pass alinitumia sms ilisema hivi(hahhahahaha umebadili pass,chezea it ww),nilitamani nimuuwe.

alikuwa nafanyaye?
Kwanza alikuwa anashirikiana na jamaa wa usalama ambaye alikuwa ubakozi wa Misri Tz

Huyo jamaa anakifaa mfano wa sim,kimetengenezwa japani, lengo la hicho kifaa ni for security issues,maani kinaweza kusensi kama mtu anasilaa akiwa umbali flani,pia kwa ajili ya upelelezi,hicho kifaa ukimpa namba ya mtu yeyote kina vuta inf zote kwa hiyo sim pamoja contact zote sms calender issue nk,hata uwe na sim ya kitochi,

Baada yakuwa na inf zako zote kinakuwa kinasave each and every thing unacho fanya kwa sim,pia sim yako inakuwa ipo kiganjani kwake anweza mcall mtu yeyote amtakae,hata amtukane itaonekan ni ww ndio umefanya hivyo.

Nilijuaje?

Nilihangaika sana na apps za kwa mitandao, hata kuna apps unalipia kama laki 250,kwa mwezi niliitumia,

Hi apps nimeisahau jina ila naweza kukutafutia,ina act kama untvirus,inakutell how inf zako zinavyo populated..

basi tangia hapo jamaa akajua kuwa kunasomething wrong.so nahisi kwa heshima ya kazi yake akaachana na namba zangu.

Akanipa na mbinu kuwa nikitaka nikikomeshi hicho kishem changu ninunue HUWEI P8,hii sim ni baala,

Yule jamaa na shem wangu now nimarafiki sana tu..

So mkuu kama anatumia mbinu hii ww nenda kanunue huawei.
Dah ni balaa kwa kweli
 
Mkuu umeelezea vizuri sana. Niongeze tu kuwa kuna apps zingine za kuspay si lazima ziwe installed kwenye sim ya muhusika isipokuwa unapozikofigure basi unazikofigure na number za mtu unaetaka kumspay. Kwa apps ya namuna hii ili usiweze kuwa spayed kwenye watsap basi badilisha number ya watsap kwenye watsap setting yako.
Haiwezekani ikawa ndiyo hiyo maana whatsapp ni end to end encryption ndiyo inatumika, hivyo bila ku install application kwenye simu ya rubii asingeweza kuhack na kusoma sms zake maana sms zinasomeka pale tu zinapofika kwenye simu ya mhusika zikiwa ziko hewani zinakuwa encrypted ukinasa ni kama matakataka yasiyoeleweka.
 
ingia ktk app manager angalia application zilizopo ukiona usiyoielewa(inayohusu spy) uninstall hiyo, hakuna haja ya kureset

Mkuu hio njia unayosema wewe ni tofaut na madai ya huyu dada Rubii
Mtu akikuwekea spy call ktk cm yako sana saaana huyo atapata kuskia cm zilizopigwa ktk hio sim na zilizopiga
Na atazpata kwa hio hio sim iliowekwa spycall app
Lkn rubii anaeleza jamaa anapata data zoooote pmj na za whatsap
Huyo mtu amehack hapo hajaweka spycall
Naimani umemielewa mkuu
 
Simu yako ni mtandao gani maana sometimes inafanywa in collaboration Na watu wasio waaminifu toka kwenye Mtandao unaotumia Na MTU wa karibu Na wewe
 
rubii hiyo mobile tracker ndo inayokuspy wewe!..Huyo mtu aliipata simu yako mkononi akainstall hiyo application then akailink na e-mail address yake so kila kitu cha simu yako kinaenda kwenye hiyo simu ake na ukitaka asivipate usiwe na bundle ama zima data cause vinategemea data kutuma kwenye e-mail yake!..
Hata me nimefanya kwenye simu yangu ni kwamba inanisaidia sometime hua napoteza sana simu ama sahau so itanisaidia futa ama jua ilipo simu!..
Nimesahau jinsi ya kuiunstall but jaribu google MOBILE FREE TRACKER how to unstall it..
 
rubii hiyo mobile tracker ndo inayokuspy wewe!..Huyo mtu aliipata simu yako mkononi akainstall hiyo application then akailink na e-mail address yake so kila kitu cha simu yako kinaenda kwenye hiyo simu ake na ukitaka asivipate usiwe na bundle ama zima data cause vinategemea data kutuma kwenye e-mail yake!..
Hata me nimefanya kwenye simu yangu ni kwamba inanisaidia sometime hua napoteza sana simu ama sahau so itanisaidia futa ama jua ilipo simu!..
Nimesahau jinsi ya kuiunstall but jaribu google MOBILE FREE TRACKER how to unstall it..

Mkuu weka MOBILE TRACKER weka
FIND MY PHONE weka LOCATION TRACKER yote hio kamwe haita track wala hata kuona mssgs za whatsap Mkuu,
Huyo jamaa kamchezea kitoto saaana huyo alichokifanya ktk sim yake(rubii)
Ni amehack vitu viwili hapo ktk hio hio sim ya huyo rubii
Ni mtu wakaribu ndo kafanya hivyo
Hadi kuichkua hio sim akafanya mamboz kisha akairejesha ka alivoichkua hio sehem alipoikuta,
NDOMAANA NKAMUULIZA HUYO MLALAMIKAJI ANATUMIA AINA GANI YA SIMU??
TATIZO NAE KIMYA HUENDA KAITUPIA SIM NDANI YA NDOO YA MAJI NDOMAANA YUPO KIMYA
 
Mkuu weka MOBILE TRACKER weka
FIND MY PHONE weka LOCATION TRACKER yote hio kamwe haita track wala hata kuona mssgs za whatsap Mkuu,
Huyo jamaa kamchezea kitoto saaana huyo alichokifanya ktk sim yake(rubii)
Ni amehack vitu viwili hapo ktk hio hio sim ya huyo rubii
Ni mtu wakaribu ndo kafanya hivyo
Hadi kuichkua hio sim akafanya mamboz kisha akairejesha ka alivoichkua hio sehem alipoikuta,
NDOMAANA NKAMUULIZA HUYO MLALAMIKAJI ANATUMIA AINA GANI YA SIMU??
TATIZO NAE KIMYA HUENDA KAITUPIA SIM NDANI YA NDOO YA MAJI NDOMAANA YUPO KIMYA
Kama kairoot simu yake vyote vinawezekana!..inawezekana mwenye simu hajui lakini huyo aliechukua hiyo simu ameiroot!..
 
Ulivyo mrembo watakuteka. Yaweza kuwa unasumbua sehemu katika ridhiki za watu aidha siasa, au unabeba mume Wa MTU hivyo wanaanza kufuatilia nyendo zako. Badili simu na laini kabisa.
Kubadili laini pekee haitakusaidia maana serial number ya simu wanayo. Take care. cc@rubii
 
Kama kairoot simu yake vyote vinawezekana!..inawezekana mwenye simu hajui lakini huyo aliechukua hiyo simu ameiroot!..

Akitaka kumkamata mwizi wake. Au mbaya wake
Aingie whatsap tu,,,
Kuna chocho moja humo whatsap akiingia na akaifungua directlly ataiona device ilio hack hio whatsap
Na atamtbua huyo mtu kutokana na device atakayoiona
 
Habari zenu wapendwa.
Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani
Napiga simu nayeye anapata taarifa yote
Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia
Hata location yangu anaijua kila ninaposogea.
Rubii kama ni mumeo tumia nafasi hio kumuonyesha kwamba wewe ni mwaminifu kwenye ndoa. Nunua kisimu kidogo hamishia michepuko yote huko. Alafu huko alikokuhack kila siku kua unampigia mama ake mzazi
 
Acha tu akuspy, ni sifa iliyotukuka kuwa na bodyguard wa kujitolea pasi na mshahara, u are the star, be happy for knowing that not only God who is watching you but there is also a human being, I WISH I COULD BE YOU
 
Acha tu akuspy, ni sifa iliyotukuka kuwa na bodyguard wa kujitolea pasi na mshahara, u are the star, be happy for knowing that not only God who is watching you but there is also a human being, I WISH I COULD BE YOU
 
Ulivyo mrembo watakuteka. Yaweza kuwa unasumbua sehemu katika ridhiki za watu aidha siasa, au unabeba mume Wa MTU hivyo wanaanza kufuatilia nyendo zako. Badili simu na laini kabisa.
Kubadili laini pekee haitakusaidia maana serial number ya simu wanayo. Take care. cc@rubii

Walishindwa

Rubiikimimi
 
Habari zenu wapendwa.
Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani
Napiga simu nayeye anapata taarifa yote
Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia
Hata location yangu anaijua kila ninaposogea.
kama bado hujasolve hili tatzo labda nijarb kuelezea experience yang abt mobile tracker kuna thread 1 hv nilielekeza namna ya ku2mia mobile tracker na namna inavyofanya kazi na kibaya zaidi mobile tracker inaweza kuchukua data za whatsapp kwa rooted device na data nyngne kama call, sms, photos, location and others kwa non rooted device
1f1a5a341f27f6f21a2514a30beef3fb.jpg
488fbabfc6ca59b94c92287bad3ee69b.jpg
9892f82d0202ee3158c41847f760b7a6.jpg
db1488101d6aa93705416d72b0f426d0.jpg
aee6a230d09655691dab6bc618aaec1b.jpg
faff5d0720c221d4292e17daae12e00b.jpg
3c2beedf3c49259ac6afe588b20a3b8c.jpg
8b5a486b34ae67bc83f41024fd670524.jpg
5ae77a2a477c3f89efc86cf1bce2aae5.jpg
hizi ni among few pictures on how it works anyway 2achane na how it works app hii ikishakuwa installed on phone haionekan na inajiandika jina tofaut kwenye device administrator such as wifi and etc so ni vigumu kuiona so ngoja nijarb kukuelekeza kwa picha on how to deactivate it

sent from my iPhone 7 using jamiiforum app
 
Habari zenu wapendwa.
Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani
Napiga simu nayeye anapata taarifa yote
Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia
Hata location yangu anaijua kila ninaposogea.
hvyo basi kama ni mobile tracker alichofanya ni hiki
09ed8e2fc280441aa98edc104dc436fd.jpg
7fee3816f6fe708281ecd44436a6ae2d.jpg
a5a1185c4782462bd6839fe99359064e.jpg
baada ya kuingia kwenye cm inakuwa hv...
9374cd530ed459a6c99ebd8db490262e.jpg
72269d3e45501980a22c1be570b19944.jpg
218fe17a0229dc16fc661b7d7526ba01.jpg
namna ya ku deactivate isifanye kaz ingia "setting", "security" then device administrator ukikuta wifi
5bfd574ffb0004ae0308add5efb595e6.jpg
925d02c1f0361d11e319991e530e6450.jpg
3b6d087a7376bb81c6991b6241326632.jpg
unmark baada ya ku unmark haitoweza kutuma tena taarifa...... kama hakuna wifi kwenye device administrator sema 2jue namna nyingine.........

sent from my iPhone 7 using jamiiforum app
 
Back
Top Bottom