Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 241
- 433
Habari Wakuu.
Nahitaji tofali 4,800 kwa ajili ya kuweka fence ya ukuta wa nyumba, ili kupunguza gharama kidogo nimefikiria kukodisha mtu wa kufyatua kwenye site yangu. Sasa naomba anayefahamu anijuze;
1) Zitahitajika cement mifuko mingapi ili kutoa tofali 4,800
2) Mchanga kiasi gani?
3) Gharama kwa kila tofali kwa mtu ataefyatua
Kama Kuna gharama nyingine naomba mwenye uzoefu anijuze na tuone kama tunaweza fanya kazi pamoja
NB: Maji ninayo ya kutosha site.
Asanteni
Nahitaji tofali 4,800 kwa ajili ya kuweka fence ya ukuta wa nyumba, ili kupunguza gharama kidogo nimefikiria kukodisha mtu wa kufyatua kwenye site yangu. Sasa naomba anayefahamu anijuze;
1) Zitahitajika cement mifuko mingapi ili kutoa tofali 4,800
2) Mchanga kiasi gani?
3) Gharama kwa kila tofali kwa mtu ataefyatua
Kama Kuna gharama nyingine naomba mwenye uzoefu anijuze na tuone kama tunaweza fanya kazi pamoja
NB: Maji ninayo ya kutosha site.
Asanteni