Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!
Brigita, safari sio bomba, pita bar uone wangapi wanakunywa safari, angalia iko siku utajinyea kwa kunywa hio misafari yako.