INFIDELITY THEORY itatubana. au kuna exceptions?
hehehehe!halafu na wewe natamani siku moja tudumishe desturi pamoja
Aisee haya mapwenti huwa unayapataga wapi asee?
Hahahahaha! Hapa nimecheka kwa sauti, how did you know kiongozi?
Anyway, sorry, nimesahau kuwa kuna wataalam wa kusoma katikati ya lines.
Geoff mtoto wa watu bado bikira, usimtie majaribuni tafadhali...!!!
Aisee haya mapwenti huwa unayapataga wapi asee?
afu huyo bht mwangalie sana asee.
Anaweza kuwa mwanachama wa Carmel!
YEOMIIIIIIIIIIIIIIIIII!!!
sijasoma wala!!
Nina uzoefu mkubwa wa kudesa mpaka bht kakataa kata kata kusoma darasa moja na mimi atiii!
Nimeona umenigongea SENKSI kubwa sana pale juu!
afu huyo bht mwangalie sana asee.
Anaweza kuwa mwanachama wa Carmel!
Hivi wewe hujui Kaizer anakusubiri hapo nje?
Ni kweli kizuri unakula na wenzio....siku mojamoja si mbaya jamani....
Kwani carmel ana chama gani? Mwenzenu mie ''slow-learner''.
nipeni ruhusa niwe nacheka tuuuuuuuuuuuu bila kukoment kitu wapendwa wa moyo wangu lol!!!!!!!!!!!!
Tatizo lako uko ki- THEORY zaidi. Sasa mbona hujajibu PM yangu?Ni kweli kizuri unakula na wenzio....siku mojamoja si mbaya jamani....
Sasa sio unacheka tu halafu unasahau kale kakitu ketu! LOLZ!nipeni ruhusa niwe nacheka tuuuuuuuuuuuu bila kukoment kitu wapendwa wa moyo wangu lol!!!!!!!!!!!!
Mkuu, alisema mwenyewe kwenye ile topic ya carmel ya kutaka watu watubu kama wameshatembea nje ya ndoa au na mke/mume wa mtu.