Msaada: Kuikabili HANGOVER Jumatatu!

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,352
Ni hivi:

Jumamosi hii mdogo wangu atakuwa anaoa. Harusi itakuwa na bia za kutosha.

Jumapili mpwa wangu anapata komunyo ya kwanza. Kutakuwa na bia za kufa mtu.

Jumatatu ni mwisho wa mwezi, maripoti kibao.

Kuna mtu yeyote anajua dawa ya kuikabili HANGOVER ili jumatatu nisihatarishe uhai wa kibarua changu? ANGALIZO: Dawa hiyo isihusiane na kuacha kunywa bia siku hizo mbili wala vidonge vitakavyonilazimisha nisinywe bia jumatatu jioni baada ya kazi ngumu.

Wakati nikiwaombeni mniombee jumatatu inikute mzima, :glasses-nerdy:Mimi nawatakieni wikiendi njema.
 
Hapo ni msosi tu ukishiba tu bia zitakuwa zinashuka zenyewe, kabla hujanywa hakikisha umeshiba.
Ukiamka asubuhi piga mitori bakuli 2 alafu kamata bia 3 za baridi, then pumnzika kidogo agiza supu sasa.
Nakuhakikishia hang over hutaisikia.
Mbona hatukaribishani mpwa utamaliza peke yako makreti hayo?
 
Dah hiyo ni bonge la weekend Kaka ukishakunywa hizo bia zote kumbuka kuweka valuu kidogo then your Monday will be mwaaa! ni ushauri tu nothing personal.
 
Hapo ni msosi tu ukishiba tu bia zitakuwa zinashuka zenyewe, kabla hujanywa hakikisha umeshiba.
Ukiamka asubuhi piga mitori bakuli 2 alafu kamata bia 3 za baridi, then pumnzika kidogo agiza supu sasa.
Nakuhakikishia hang over hutaisikia.
Mbona hatukaribishani mpwa utamaliza peke yako makreti hayo?

Hahahaha! mpwa we utakaribishwa kwa kustukiza.

Ebwanae, hivi unajua sina hobi ya kupata misosi? Mi kazi yangu ni kunywa tu. chakula wanakula kina mama na watoto.
 
kunywa maji mengi kabla ya kwenda kitandani,zaidi ya lita moja na nusu hivi!na ikitokea umeshtuka usiku piga glass ya maji!hapo utaamka fresh kabisa.
 
Hahahaha! mpwa we utakaribishwa kwa kustukiza.

Ebwanae, hivi unajua sina hobi ya kupata misosi? Mi kazi yangu ni kunywa tu. chakula wanakula kina mama na watoto.

Ukitaka ufaidi hizo shuhuri hakikisha mapilau na mawali hugusi wewe unacheza na minyama nyama na vitu laini kuweka tumbo safi.
 
Hahahaha! mpwa we utakaribishwa kwa kustukiza.

Ebwanae, hivi unajua sina hobi ya kupata misosi? Mi kazi yangu ni kunywa tu. chakula wanakula kina mama na watoto.
hahahahaaa!!! mambo ya miwali na miubwabwa na mitambi wanakula wakina matesha na jane sio???

Fanya hivi, hakikisha unakula supu/kisusio cha maana au mtori asubuhi sana, na unapiga kama bia tatu au nne za baridi mapemaaaa! then rudi home na ujifanye unaangalia tv, lazima usinzie. sasa ukiamaka hapo.......unakuwa pampula balaa....na morning uko poa kabisa.
 
mi nitakuwepo kwenye hiyo harusi, nitahakikisha unakunywa pombe mpaka j2 ushindwe kutembea utauguza uchovu j2 yote. j3 utakua fresh
 
hapo hata kazi ukifukuzwa ni shauri yako,we kunywa tu lakini angalia usipoteze ugali wako kwaajili ya kuendekeza kilevi,hiyo jumapili chapa udirinki lakini hakikisha hunywi mpaka saa kumi asubuhi,nna uhakika ukinywa mpaka saa sita usiku sio mbaya kesho unaamka poa kabisa bila hang over wala nini hakikisha umepiga supu kabla ya kulala na mtori ukiamka.
 
Dah hiyo ni bonge la weekend Kaka ukishakunywa hizo bia zote kumbuka kuweka valuu kidogo then your Monday will be mwaaa! ni ushauri tu nothing personal.

We dada ulishawahi onja valeur? Ile huwa inapoteza netiweki ujue. Naona unataka kibarua changu kiingie mchanga.
 
kunywa maji mengi kabla ya kwenda kitandani,zaidi ya lita moja na nusu hivi!na ikitokea umeshtuka usiku piga glass ya maji!hapo utaamka fresh kabisa.
Ushauru mzuri tatizo ni kuwa, je ntakumbuka? mi nikishayamimina maji ya kutosha akili yangu inahamia kitandani
 
Ukitaka ufaidi hizo shuhuri hakikisha mapilau na mawali hugusi wewe unacheza na minyama nyama na vitu laini kuweka tumbo safi.
Hahahaha! Kamanda ahsante kwa ushauri murua. Ntaufanyia kazi. Vipi tuk tuk ina wese la kutosha?

hahahahaaa!!! mambo ya miwali na miubwabwa na mitambi wanakula wakina matesha na jane sio???

Fanya hivi, hakikisha unakula supu/kisusio cha maana au mtori asubuhi sana, na unapiga kama bia tatu au nne za baridi mapemaaaa! then rudi home na ujifanye unaangalia tv, lazima usinzie. sasa ukiamaka hapo.......unakuwa pampula balaa....na morning uko poa kabisa.
Hahahaha! Dah! kamanda inaelekea yu a veri eksipiriensd kuyakabili mahangover. Bado unapiga mzigo TBL?

hujatupa kadi unaomba msaada...acha uchoyo Chrispin
Hii haina cha kadi E-w, Just PM me and you will be invited instantly!

mi nitakuwepo kwenye hiyo harusi, nitahakikisha unakunywa pombe mpaka j2 ushindwe kutembea utauguza uchovu j2 yote. j3 utakua fresh
Sasa yakitokea yale ya Infidelity ya mamaa la Carmel utamlaumu nani?

hapo hata kazi ukifukuzwa ni shauri yako,we kunywa tu lakini angalia usipoteze ugali wako kwaajili ya kuendekeza kilevi,hiyo jumapili chapa udirinki lakini hakikisha hunywi mpaka saa kumi asubuhi,nna uhakika ukinywa mpaka saa sita usiku sio mbaya kesho unaamka poa kabisa bila hang over wala nini hakikisha umepiga supu kabla ya kulala na mtori ukiamka.
Hili ni neno la busara sana. Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Ila nikifukuzwa kazi kina matesha nukuletea uwalee.
 
Kaka kazi unayo ila 'vitu vizuri kula na nduguyo' tualikane mkulu, mi nakushauri licha ya kula vizuri hasa kamdudu ka kurosti pia unywe tusker baridiiiiii,siipigii debe ila yalishanitokea mafuriko kama hayo nilikunywa jumla ya tusker kama kreti 2 kuanzia jmosi hadi j2 saa 7 hivi ila kumbuka maji kama lita 1 kila baada ya bia 7 ni muhimu.Starehe njema rafiki.
 
Kaka kazi unayo ila 'vitu vizuri kula na nduguyo' tualikane mkulu, mi nakushauri licha ya kula vizuri hasa kamdudu ka kurosti pia unywe tusker baridiiiiii,siipigii debe ila yalishanitokea mafuriko kama hayo nilikunywa jumla ya tusker kama kreti 2 kuanzia jmosi hadi j2 saa 7 hivi ila kumbuka maji kama lita 1 kila baada ya bia 7 ni muhimu.Starehe njema rafiki.
sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!
 
Dawa ni supu tu! na mtu asikudanganye, Amka jmosi ashubuhi, Gonga supu na pc mbili ya kongoro, kama kuna ndizi chemsho pia itakuwa shangwe zaidi, gonga kama 2pcs. Ikifika mchana kachome nyama nusu kwa ugali then kaoge upumzike angalau 3hrs. Ukitoka hapo kakamate tena supu kama kawa halafu after 1hr anza kukata maji mwana mpaka saa saba nane usiku si mbaya. Kesho yake asubuhi follow the same procedure then moday you will be fine!

Note: usije ukala wali, tambi, wala ubwabwa maana utaubuka and Dont drink and drive.

Mm mwenyewe nimepiga marufuku kupikwa kwa vyakula vya aina hiyo niliyotaja hapo juu nyumbani kwangu siku za shangwe!!!!! (weekend and holidayz).

Good Weekend!:painkiller:
 
Kaka kazi unayo ila 'vitu vizuri kula na nduguyo' tualikane mkulu, mi nakushauri licha ya kula vizuri hasa kamdudu ka kurosti pia unywe tusker baridiiiiii,siipigii debe ila yalishanitokea mafuriko kama hayo nilikunywa jumla ya tusker kama kreti 2 kuanzia jmosi hadi j2 saa 7 hivi ila kumbuka maji kama lita 1 kila baada ya bia 7 ni muhimu.Starehe njema rafiki.

What hapo kwenye red you people are overdoing jamani nikwamba the next day kiwanda kitakuwa kimefungwa au?
 
Dawa ni supu tu! na mtu asikudanganye, Amka jmosi ashubuhi, Gonga supu na pc mbili ya kongoro, kama kuna ndizi chemsho pia itakuwa shangwe zaidi, gonga kama 2pcs. Ikifika mchana kachome nyama nusu kwa ugali then kaoge upumzike angalau 3hrs. Ukitoka hapo kakamate tena supu kama kawa halafu after 1hr anza kukata maji mwana mpaka saa saba nane usiku si mbaya. Kesho yake asubuhi follow the same procedure then moday you will be fine!

Note: usije ukala wali, tambi, wala ubwabwa maana utaubuka and Dont drink and drive.

Mm mwenyewe nimepiga marufuku kupikwa kwa vyakula vya aina hiyo niliyotaja hapo juu nyumbani kwangu siku za shangwe!!!!! (weekend and holidayz).

Good Weekend!:painkiller:

Walevi utawajua tu, ndio wale wale, haya weekend njema.
 
What hapo kwenye red you people are overdoing jamani nikwamba the next day kiwanda kitakuwa kimefungwa au?
weweee......koma kabisa, watu tusififanye tuyapendayo kwa raha zetu!!
mbona wazee wa kilimo kwanza huwa wanang'ang'ania kifuani na kugeuza geuza style zote kama vile hiyo kitumbua haitakuwepo kesho yake!!
 
honey, ckujua kaam una mambo mazuri hivi weekend jamani halafu ukakaa kimya bila hata kunitonya, nimeckitishwa sana na hiki kitendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom