bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Umesahau gradyuesheni yako kesho Ushoto?
hahaaa wewe ni makamba??? hebu tamka vizuri!!!!
agradueti hata fomu za kujiunga hajachukua??? ufisadi gani huu sasa!!
Umesahau gradyuesheni yako kesho Ushoto?
Kwa kuwa neno langu ni sheria?
Mhe Xpin jibu langu lilikuwa hapo kwenye red ila kwakuwa umeshakataa basi tena.Ni hivi:
Jumamosi hii mdogo wangu atakuwa anaoa. Harusi itakuwa na bia za kutosha.
Jumapili mpwa wangu anapata komunyo ya kwanza. Kutakuwa na bia za kufa mtu.
Jumatatu ni mwisho wa mwezi, maripoti kibao.
Kuna mtu yeyote anajua dawa ya kuikabili HANGOVER ili jumatatu nisihatarishe uhai wa kibarua changu? ANGALIZO: Dawa hiyo isihusiane na kuacha kunywa bia siku hizo mbili wala vidonge vitakavyonilazimisha nisinywe bia jumatatu jioni baada ya kazi ngumu.
Wakati nikiwaombeni mniombee jumatatu inikute mzima, :glasses-nerdy:Mimi nawatakieni wikiendi njema.
Dah! hapo pa red nimepapenda bure jamaHahahaha! mpwa we utakaribishwa kwa kustukiza.
Ebwanae, hivi unajua sina hobi ya kupata misosi? Mi kazi yangu ni kunywa tu. chakula wanakula kina mama na watoto.
Xpin anaonekana anamwazo sana leo cjui juzi, jana kafanya vituko gani baada ya kunywa yale maji ya dhahabu!Chrispin lol leo ni jtatu bado tu unakunywa ?
mkuu x-pin umeamka?
hahahaha!Duh, kweli mkuu una-care.... big up mdogo wangu
DN [ndani ya CET garden kwa supu....
we acha tu!!!!! mambo ya gidigidi majimaji haya....hahahaha!
we jana ilikuwaje?
upo tayari A-CITY?
DaH! We acha tu!Chrispin lol leo ni jtatu bado tu unakunywa ?
Nakwambia we acha tu mama!Xpin anaonekana anamwazo sana leo cjui juzi, jana kafanya vituko gani baada ya kunywa yale maji ya dhahabu!
Acha tu ndugu yangu. Acha tu! Nashukuru nika hai lakini........mkuu x-pin umeamka?
Ndugu yangu huyu anajua mateso ya hii kitu. We acha tu! Hongera kwa kupata supu mazee, mi haipandi kabisa hiyo kituDuh, kweli mkuu una-care.... big up mdogo wangu
DN [ndani ya CET garden kwa supu....
hahahaha!
we jana ilikuwaje?
upo tayari A-CITY?
:drum:we acha tu!!!!! mambo ya gidigidi majimaji haya....
ni hivi:
Jumamosi hii mdogo wangu atakuwa anaoa. Harusi itakuwa na bia za kutosha.
Jumapili mpwa wangu anapata komunyo ya kwanza. Kutakuwa na bia za kufa mtu.
Jumatatu ni mwisho wa mwezi, maripoti kibao.
Kuna mtu yeyote anajua dawa ya kuikabili hangover ili jumatatu nisihatarishe uhai wa kibarua changu? Angalizo: Dawa hiyo isihusiane na kuacha kunywa bia siku hizo mbili wala vidonge vitakavyonilazimisha nisinywe bia jumatatu jioni baada ya kazi ngumu.
Wakati nikiwaombeni mniombee jumatatu inikute mzima, :glasses-nerdy:mimi nawatakieni wikiendi njema.