madangwa
Member
- Aug 20, 2009
- 8
- 0
Salaam waugwana!
Mimi ni kijana wa Kitanzania ambae bado sijaelewa mchakato mzima wa utafutaji wa vazi la taifa toka ulipoanza, ulipopita na unapoelekea... Hivi hili vazi la Taifa likoje? Na umuhimu wake ni nini? Nani ni mhusika katika hili? Litakuwa linapatikana wapi? Litauzwa ama kugawiwa bure? Nani ataruhusiwa kulivaa na nani hatoruhusiwa?
Naombeni msaada wenu bandugu maana sielewi...
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Mimi ni kijana wa Kitanzania ambae bado sijaelewa mchakato mzima wa utafutaji wa vazi la taifa toka ulipoanza, ulipopita na unapoelekea... Hivi hili vazi la Taifa likoje? Na umuhimu wake ni nini? Nani ni mhusika katika hili? Litakuwa linapatikana wapi? Litauzwa ama kugawiwa bure? Nani ataruhusiwa kulivaa na nani hatoruhusiwa?
Naombeni msaada wenu bandugu maana sielewi...
Natanguliza shukrani zangu za dhati.