Ushauri kwa waleta maada hususani simu jaribuni kuwa makini na spelling na kuepuka vifupi vya maneno ambayo siyo wote wanaweza kuvielewa. Kumvisha mtu pete ya uchumba ni ishara kwa watu wengine kuwa mtu huyo ni occupied. Ndiyo maana kukawa na utofauti wa pete ya uchumba na ndoa. Kuhusu kughairi kuoa baada ya mtu kumvisha mtu pete uwezekano kama huo upo lakini inabidi uwe na sababu ya msingi sana ambayo itakubalik na pande zote mbili. Sababu ya pekee ambayoinaweza kukubalika ni fumanizi lisilo na mawaa, hili linaweza kuvunja hata ndoa si tu uchumba. Swali la kizushi Senetaor, unataka kumtema mtu nini? Maana thraed huwa zina connection fulani hivi na mtoa mada.