Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Shughuli ya kuveshana pete nchini Kenya, imenusurika kuharibika baada ya mwanamke Jessica Hawayu kumeza pete ya uchumba ambayo alifichwa kwenye chakula chake (pilau) kwa 'surprise'.
Mpango kati ya mama wa mwanamke huyo na mpenzi wake Johannah Charo ulikuwa ni kuficha pete ya uchumba kwenye sahani ya pilau,ili binti huyo aione lakini haikuwa hivyo.
Jessica alianguka na kukimbizwa katika hospitali ya karibu baada ya kumeza pete hiyo iliyowekwa kwenye pilau akapewa msaada.
Hata hivyo, aliamka na kujibu ‘ndiyo’ huku pete ya uchumba ikiwa tayari kidoleni mwake huku Charo akisisitiza kwamba angemuoa akiwa amekufa au akiwa hai.
Mpango kati ya mama wa mwanamke huyo na mpenzi wake Johannah Charo ulikuwa ni kuficha pete ya uchumba kwenye sahani ya pilau,ili binti huyo aione lakini haikuwa hivyo.
Jessica alianguka na kukimbizwa katika hospitali ya karibu baada ya kumeza pete hiyo iliyowekwa kwenye pilau akapewa msaada.
Hata hivyo, aliamka na kujibu ‘ndiyo’ huku pete ya uchumba ikiwa tayari kidoleni mwake huku Charo akisisitiza kwamba angemuoa akiwa amekufa au akiwa hai.