Mahunda Jr
Member
- Apr 5, 2020
- 76
- 108
- Thread starter
- #21
Umesema kwelWewe ukimuangalia huyo mtoto unaona kuna kipi unachofanana nae? Kama hakuna hiyo ni redflag namba 1.
Kapime DNA bila kujali gharama ni kheri ujue kwamba si damu yako bado mapema, maana unaweza kujikita ktk matunzo na kubania uzazi mwingine kutokana na majukumu uliyonayo muda ukaenda bila mtoto wako wa damu..
Ukishajua kuwa SI wako, usikatishe huduma bali upunguze huduma..
Dunia haiko fair wale wanaokupa moyo wa uvumilivu wa kulea mtoto si wako ndio hao hao watakaokucheka kuwa ni bwege. Hakikisha mapema kbs kama ni damu yako.
NB:Mtoto wa kulea ambae unajua si wako ni tofaut na yule ambae unajua ni wako alaf unakuja kuambiwa si wako.