Msaada kuhusu kupima DNA

Msaada kuhusu kupima DNA

Hupaswi kuamini chochote kutoka kwa mwanamke aliyemtelekeza mwanae akiwa mchanga.

Kama umeweza kumlea mtoto angali mchanga endelea kufanya hivyo, huenda riziki yako inatoka kwenye baraka za huyo mtoto.

Kama ukifanikiwa kupima na kugundua mtoto sio wako, usimtelekeze. Endelea kumpa huduma hadi atakapokua, Mungu anajua zaidi kwanini alimuweka huyo mtoto katika mikono yako.
Ukigundua kaka yako au mtoto wako wa kiume amebambikiwa mtoto unaweza kumpa huu ushauri?
 
Habari,

Nina mtoto nimemlea kwa takriban miaka miwili hivi, nampenda sana uyu mtoto na ndo mtoto pekee nilienae kwa sasa ila njia ya mama yake na yangu zimeenda tofauti na kila mtu na maisha yake.

Kwa muda mrefu kidogo mtoto nlimpeleka kulelewa na bibi mzaa mama yake tena akiwa ananyonya baada ya mama yake kunitelekezea mtoto.

Nlimpa yule mama huduma zote za mtoto ikiwo bill ya maziwa na mahitaj mengine. Mtoto akaanza kusimama na kutembea akiwa kwa bibi nami nilimhudumia vizur tu.

Mama yake akaanza maneno kuwa mtoto sio wangu, akarudia na kurudia na kila nlipowashirikisha wazaz wake waliniambia nimblock kwakuwa ni hasira za kuwa mbali na mtoto kwakuwa japo alikutelekezea ila alipojua umemleta hapa nyumbani alimtaka mtoto ila tukamkatalia kwakuwa tumeshamwachisha nyonyo na kwamba mtoto aliletwa kwa maandishi kutoka serikal ya mtaa kwahiyo hawezi kutoka tena atakaa pale.

Basi nlipoambia ni hasira nkapuuza na kupuuza na kupuuza kila aliponitamkia hayo maneno.

Uvumilivu una kikomo, na ulikoma pale aliponitajia baba wa mtoto kwa jina kabisa na ni mwanaume ambae alishakuwa nae kimahusiano. Nikaacha kuhudumia vikaanza vikao visivyo na mwisho na visivyoeleweka na visivyo na suluhu. Nimesitisha huduma tangu mwez wa tisa.

Najiskia vibaya kutokumhudumia uyu mtoto hasa ikiwa ni wangu, ila ntajiskia vibaya kama ntahudumia mtoto sio wangu.

Naomba kwa anaejua gharama na taratibu za kupima DNA anijulishe mana hili swala ni gumu sana kwangu. Ikiwa gharama ni rafiki basi nikapime.

Asante
Pole sana ndugu yangu wamekutesa sana Kisaikolojia.

Huyo Mwanamke alijua kabisa unapenda watoto akashikia hapo hapo
 
Kiufupi
Sikulea mimba ila aliniletea mtoto na kusema ni wangu.

Nlipomuuliza mimba umeleaje pekeako na hukunambia akasema aliolewa na mme mwingine ambae alikataa kuwa mtoto sio wake kwakuwa muda waliokaa inaonekana mimba ilitangulia kabla ya ndoa

Nkamuangalia mtoto nikaona ni kama nafanana nae na mtoto mchanga mi mwanaume siwez kufananisha sana ila nkaanza kumlea tangu hapo.

Nlipokubali kumlea wazaz wake ndo wakaniita kuwa nilipe fidia kwa yule alielea mimba nakuongeza kuwa yule mwanaume anawalaumu kumuozesha mke ambae alikuwa na mimba.
Sikuhoji kitu nkalipa sh laki tatu ambazo nlitakiwa kulipa huku nikiendelea kumlea mtoto.

Sasa mtoto alizaliwa akiwa mikonon mwa uyo mme wake na majina anayotumia clinic ni hayo hayo jina nlilompa linatumika tu kwenye kumuita. Sasa hata kubadili jina kwenye kadi kwa muda wote kuanzia mama yake na bibi yake wote hawakubadili wanasema kubadili jina ni ngumu ( binafsi sielewi)

Sasa badae ndo mapichapicha mara mtoto sio wako mara unajisumbua kulea mtoto sio wako mara mtoto ana kadi tatu uyo we jisumbue tu.

Sasa nikae kimya vip gharama zangu?
Au niache kulea vip ikiwa ni damu yangu afu akawa anateseka, hapo ndo naumia
Kosa lilianzia hapa
 
Hupaswi kuamini chochote kutoka kwa mwanamke aliyemtelekeza mwanae akiwa mchanga.

Kama umeweza kumlea mtoto angali mchanga endelea kufanya hivyo, huenda riziki yako inatoka kwenye baraka za huyo mtoto.

Kama ukifanikiwa kupima na kugundua mtoto sio wako, usimtelekeze. Endelea kumpa huduma hadi atakapokua, Mungu anajua zaidi kwanini alimuweka huyo mtoto katika mikono yako.
Mambo ya kuhendekeza ujinga haya.
 
Kiongozi, mtoto aliyezaliwa na mkeo ni wa kwako, hiyo ndio kanuni ya Kiafrika.
Usidanganywe na hayo mambo ya kizungu ya kupima DNA, kwanza mara nyingine hizo test za huku ulimwengu wa Tatu zinatoa majibu yenye utata.
Huyo mama anataka amchukue mtoto ili akupeleke ustawi wa jamii ili uambiwe umtumie hela za matumizi kila mwezi aweze kuishi mjini
huyo hakuwa mke wake mbona unashindwa kuelewa kiswahili.
 
Habari,

Nina mtoto nimemlea kwa takriban miaka miwili hivi, nampenda sana uyu mtoto na ndo mtoto pekee nilienae kwa sasa ila njia ya mama yake na yangu zimeenda tofauti na kila mtu na maisha yake.

Kwa muda mrefu kidogo mtoto nlimpeleka kulelewa na bibi mzaa mama yake tena akiwa ananyonya baada ya mama yake kunitelekezea mtoto.

Nlimpa yule mama huduma zote za mtoto ikiwo bill ya maziwa na mahitaj mengine. Mtoto akaanza kusimama na kutembea akiwa kwa bibi nami nilimhudumia vizur tu.

Mama yake akaanza maneno kuwa mtoto sio wangu, akarudia na kurudia na kila nlipowashirikisha wazaz wake waliniambia nimblock kwakuwa ni hasira za kuwa mbali na mtoto kwakuwa japo alikutelekezea ila alipojua umemleta hapa nyumbani alimtaka mtoto ila tukamkatalia kwakuwa tumeshamwachisha nyonyo na kwamba mtoto aliletwa kwa maandishi kutoka serikal ya mtaa kwahiyo hawezi kutoka tena atakaa pale.

Basi nlipoambia ni hasira nkapuuza na kupuuza na kupuuza kila aliponitamkia hayo maneno.

Uvumilivu una kikomo, na ulikoma pale aliponitajia baba wa mtoto kwa jina kabisa na ni mwanaume ambae alishakuwa nae kimahusiano. Nikaacha kuhudumia vikaanza vikao visivyo na mwisho na visivyoeleweka na visivyo na suluhu. Nimesitisha huduma tangu mwez wa tisa.

Najiskia vibaya kutokumhudumia uyu mtoto hasa ikiwa ni wangu, ila ntajiskia vibaya kama ntahudumia mtoto sio wangu.

Naomba kwa anaejua gharama na taratibu za kupima DNA anijulishe mana hili swala ni gumu sana kwangu. Ikiwa gharama ni rafiki basi nikapime.

Asante
Gharama ni affordable lakini ni mchakato mrefu. Mtatakiwa kuanzia ustawi wa jamii huku mtasuluhishwa, ikishindikana kabisa mtaenda polisi kuna dawati la jinsia uko mtasuluhishwa pia, ikishindikana tena mnaenda mahakamani ambapo mtapewa kibali cha kupima dna then ndio mnaenda kwa mkemia wa serikali.

katika huo mchakato mwanamke akikataa kupima dna basi vipimo havifanyiki ni lazima mama mtoto akubali, kwaiyo anaweza kukwambia mtoto sio wako lakini katikati ya mchakato wa kupima dna akabadilika kwaiyo mchakato unaishia hapo.

Vile vile DNA za bongo ni za mchongo, lazima majibu yatasema mtoto ni wako hata kama sio wako. Wamasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Cha kufanya: kama uwezo unaruhusu chukua sample zako na mtoto kapime DNA hapo Nairobi, Kenya. Kule hawana longolongo na kama sio mtoto wako wanakuambia tu hapo hapo
 
Mkuu ulipohudumia mpaka mtoto kua salama ni hatua nzuri tu.

Cha kufanya ni vizuri ukapima DNA ukaujua ukweli japo kuna maneno maneno kua dna za bongo michongo mingi kukwepa watoto wa mtaani sijui mtoto kuteseka na mambo kama izo ila ni bora ukawa na uhakika wa kidaktari.

Kama dna huiwezi bas amini tu huyo mtoto sio wako.
 
Hupaswi kuamini chochote kutoka kwa mwanamke aliyemtelekeza mwanae akiwa mchanga.

Kama umeweza kumlea mtoto angali mchanga endelea kufanya hivyo, huenda riziki yako inatoka kwenye baraka za huyo mtoto.

Kama ukifanikiwa kupima na kugundua mtoto sio wako, usimtelekeze. Endelea kumpa huduma hadi atakapokua, Mungu anajua zaidi kwanini alimuweka huyo mtoto katika mikono yako.
Mkuu umeshauri vizuri hasa kipengele cha kusema asiamini chochote kutoka kwa mwanamke aliyemtekeza mtoto. Ila sasa kuna upande mwingine. Kama siyo wake na huyo baab halisi akaja jitokeza siku moja na kumdai itakuwaje? Mimi nadhani ni vizuri kabisa mambo yakawekwa sawa tangu sasa. Hata kama siyo wake na anataka kumlea, basi afanye mchakato ili ijulikane na kusiwe na mgongano baadae.
 
Hupaswi kuamini chochote kutoka kwa mwanamke aliyemtelekeza mwanae akiwa mchanga.

Kama umeweza kumlea mtoto angali mchanga endelea kufanya hivyo, huenda riziki yako inatoka kwenye baraka za huyo mtoto.

Kama ukifanikiwa kupima na kugundua mtoto sio wako, usimtelekeze. Endelea kumpa huduma hadi atakapokua, Mungu anajua zaidi kwanini alimuweka huyo mtoto katika mikono yako.
Busara kubwa sana hii!
 
Habari,

Nina mtoto nimemlea kwa takriban miaka miwili hivi, nampenda sana uyu mtoto na ndo mtoto pekee nilienae kwa sasa ila njia ya mama yake na yangu zimeenda tofauti na kila mtu na maisha yake.

Kwa muda mrefu kidogo mtoto nlimpeleka kulelewa na bibi mzaa mama yake tena akiwa ananyonya baada ya mama yake kunitelekezea mtoto.

Nlimpa yule mama huduma zote za mtoto ikiwo bill ya maziwa na mahitaj mengine. Mtoto akaanza kusimama na kutembea akiwa kwa bibi nami nilimhudumia vizur tu.

Mama yake akaanza maneno kuwa mtoto sio wangu, akarudia na kurudia na kila nlipowashirikisha wazaz wake waliniambia nimblock kwakuwa ni hasira za kuwa mbali na mtoto kwakuwa japo alikutelekezea ila alipojua umemleta hapa nyumbani alimtaka mtoto ila tukamkatalia kwakuwa tumeshamwachisha nyonyo na kwamba mtoto aliletwa kwa maandishi kutoka serikal ya mtaa kwahiyo hawezi kutoka tena atakaa pale.

Basi nlipoambia ni hasira nkapuuza na kupuuza na kupuuza kila aliponitamkia hayo maneno.

Uvumilivu una kikomo, na ulikoma pale aliponitajia baba wa mtoto kwa jina kabisa na ni mwanaume ambae alishakuwa nae kimahusiano. Nikaacha kuhudumia vikaanza vikao visivyo na mwisho na visivyoeleweka na visivyo na suluhu. Nimesitisha huduma tangu mwez wa tisa.

Najiskia vibaya kutokumhudumia uyu mtoto hasa ikiwa ni wangu, ila ntajiskia vibaya kama ntahudumia mtoto sio wangu.

Naomba kwa anaejua gharama na taratibu za kupima DNA anijulishe mana hili swala ni gumu sana kwangu. Ikiwa gharama ni rafiki basi nikapime.

Asante
Kitu cha kwanza kabisa mimi huwa naamini mtoto mara nyingi ni lazima ata-copy ufanano wowote kutoka kwa mzazi hata kwa kiasi kidogo. Huyo ukimwangalia unadhani kuna kitu mnafanana? Na huyo mwanamme mweingine je, kuna kitu wanafanana?
 
Habari,

Nina mtoto nimemlea kwa takriban miaka miwili hivi, nampenda sana uyu mtoto na ndo mtoto pekee nilienae kwa sasa ila njia ya mama yake na yangu zimeenda tofauti na kila mtu na maisha yake.

Kwa muda mrefu kidogo mtoto nlimpeleka kulelewa na bibi mzaa mama yake tena akiwa ananyonya baada ya mama yake kunitelekezea mtoto.

Nlimpa yule mama huduma zote za mtoto ikiwo bill ya maziwa na mahitaj mengine. Mtoto akaanza kusimama na kutembea akiwa kwa bibi nami nilimhudumia vizur tu.

Mama yake akaanza maneno kuwa mtoto sio wangu, akarudia na kurudia na kila nlipowashirikisha wazaz wake waliniambia nimblock kwakuwa ni hasira za kuwa mbali na mtoto kwakuwa japo alikutelekezea ila alipojua umemleta hapa nyumbani alimtaka mtoto ila tukamkatalia kwakuwa tumeshamwachisha nyonyo na kwamba mtoto aliletwa kwa maandishi kutoka serikal ya mtaa kwahiyo hawezi kutoka tena atakaa pale.

Basi nlipoambia ni hasira nkapuuza na kupuuza na kupuuza kila aliponitamkia hayo maneno.

Uvumilivu una kikomo, na ulikoma pale aliponitajia baba wa mtoto kwa jina kabisa na ni mwanaume ambae alishakuwa nae kimahusiano. Nikaacha kuhudumia vikaanza vikao visivyo na mwisho na visivyoeleweka na visivyo na suluhu. Nimesitisha huduma tangu mwez wa tisa.

Najiskia vibaya kutokumhudumia uyu mtoto hasa ikiwa ni wangu, ila ntajiskia vibaya kama ntahudumia mtoto sio wangu.

Naomba kwa anaejua gharama na taratibu za kupima DNA anijulishe mana hili swala ni gumu sana kwangu. Ikiwa gharama ni rafiki basi nikapime.

Asante
Njia nzuri ya kumshinda adui ni ku respond tofauti na alivyotarajia. Sasa huyo mwanamke matarajio yake ni kukuvunja moyo uachane na huyo mtoto. Wewe endelea kumhudumia bila kujali, hata kama si wako endelea hadi pale utapojihisi una amani kuishia hapo.
 
Gharama ni affordable lakini ni mchakato mrefu. Mtatakiwa kuanzia ustawi wa jamii huku mtasuluhishwa, ikishindikana kabisa mtaenda polisi kuna dawati la jinsia uko mtasuluhishwa pia, ikishindikana tena mnaenda mahakamani ambapo mtapewa kibali cha kupima dna then ndio mnaenda kwa mkemia wa serikali.

katika huo mchakato mwanamke akikataa kupima dna basi vipimo havifanyiki ni lazima mama mtoto akubali, kwaiyo anaweza kukwambia mtoto sio wako lakini katikati ya mchakato wa kupima dna akabadilika kwaiyo mchakato unaishia hapo.

Vile vile DNA za bongo ni za mchongo, lazima majibu yatasema mtoto ni wako hata kama sio wako. Wamasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Cha kufanya: kama uwezo unaruhusu chukua sample zako na mtoto kapime DNA hapo Nairobi, Kenya. Kule hawana longolongo na kama sio mtoto wako wanakuambia tu hapo hapo
Nashukuru
 
Mkuu ulipohudumia mpaka mtoto kua salama ni hatua nzuri tu.

Cha kufanya ni vizuri ukapima DNA ukaujua ukweli japo kuna maneno maneno kua dna za bongo michongo mingi kukwepa watoto wa mtaani sijui mtoto kuteseka na mambo kama izo ila ni bora ukawa na uhakika wa kidaktari.

Kama dna huiwezi bas amini tu huyo mtoto sio wako.
Nashukuru
 
Mu addopt tu awe wako bila haja yya dna.na kikuuliza mpe uthibitisho ni wako.
Siku raha za mijegesho ikiisha huko atarudisha msambwanda wake
 
Mkuu umeshauri vizuri hasa kipengele cha kusema asiamini chochote kutoka kwa mwanamke aliyemtekeza mtoto. Ila sasa kuna upande mwingine. Kama siyo wake na huyo baab halisi akaja jitokeza siku moja na kumdai itakuwaje? Mimi nadhani ni vizuri kabisa mambo yakawekwa sawa tangu sasa. Hata kama siyo wake na anataka kumlea, basi afanye mchakato ili ijulikane na kusiwe na mgongano baadae.
Umesema kwel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom