Mahunda Jr
Member
- Apr 5, 2020
- 76
- 108
- Thread starter
- #101
Bikra wapo now daysHii mada nimeenda nayo mpaka page three nikisoma soma maoni mawili matatu kutoka kwa wadau naona kuna wengine walishakuwa kwenye situation kama hii.
So mimi nadhani mpaka tulipofikia tuhitimishe tu kwa kusema kwa wale wanaojisikia wito wa kuoa watafute wanawake “BIKRA” hii peke yake ndiyo salama yao,mitaa imejaa malaya sana usipoenda kwa akili kupigwa toto la ex's wa kimada wako sijui mkeo ni kugusa tu chap unakuta hili hapa.