Msaada kuhusu kuhusu Smart Tv (TCL)

Msaada kuhusu kuhusu Smart Tv (TCL)

Chief-Mkwawa ivi tcl 32 inches unaweza play *265(hevc) 8/10bit formats?!
Inategemea na model mkuu, kabla ya kununua model husika search google kwa specs zake.

Pia smart tv unaweza download video player hata kama haikubali native ukatumia software rendering kuipa tv support. Sema njia hii ina apply kwa video zako ulizodwnload ama unazoplay kutumia flash etc. Ikitokea una stream kitu kama mpira kwenye app na tv yako natively haikubali x265 haitakubali. Hivyo ni vyema kuhakikisha tv ina x265.
 
Inategemea na model mkuu, kabla ya kununua model husika search google kwa specs zake.

Pia smart tv unaweza download video player hata kama haikubali native ukatumia software rendering kuipa tv support. Sema njia hii ina apply kwa video zako ulizodwnload ama unazoplay kutumia flash etc. Ikitokea una stream kitu kama mpira kwenye app na tv yako natively haikubali x265 haitakubali. Hivyo ni vyema kuhakikisha tv ina x265.
Shukrani mkuu
 
TCL smart tv zipo fresh hapa Nnayo moja hivi inch 32 sema sio roku tv. yenyewe ina linux haina android ila ina Netflix,youtube etc
ipo fresh
vile vile ina kang'amuzi ndani kwa ndani naweza kupata ITV,Capital,Eatv,star tv na nyinginezo
Naomba kujua faida zaidi ya ROKU, licha ya tv kuwa na sifa izo ulizotaja.
 
Back
Top Bottom