Msaada kuhusu kuhusu Smart Tv (TCL)

Msaada kuhusu kuhusu Smart Tv (TCL)

Zipo mkuu sema price kidogo ndo ipo juu ukiwa na almost 900k unapat
hata ukiwa na 600k unapata naona kwa sasa zipo kwenye punguzo beichee
View attachment 1068985

View attachment 1068984
Mkuu shida unajua nini? Wauzaji wanasema wana roku Tv lakin ukifka dukani sio roku

Hata amazinglifestyle wale wa sinza,wanapost insta TCL roku TV ,sasa nenda dukani kwao uone unachokutana nacho.


Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Mkuu shida unajua nini? Wauzaji wanasema wana roku Tv lakin ukifka dukani sio roku

Hata amazinglifestyle wale wa sinza,wanapost insta TCL roku TV ,sasa nenda dukani kwao uone unachokutana nacho.


Sent from my SM-G920P using Tapatalk
vipi hao jumia,
au kama vipi ni bora utafute tuu Tv Box Kama unataka kufaidi yanayopatikana kwenye smart tv za samsung
 
TCL smart tv zipo fresh hapa Nnayo moja hivi inch 32 sema sio roku tv. yenyewe ina linux haina android ila ina Netflix,youtube etc
ipo fresh
vile vile ina kang'amuzi ndani kwa ndani naweza kupata ITV,Capital,Eatv,star tv na nyinginezo
Unafanyaje kupata hizi channel za ndani , Nina tcl lakini sijaiona hiyo feature
 
Yaa au utafute roku stick ufunge mwenyew kweny tv yako

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ila si advice kutumia roku kwa sasa wamepiga fyagio la maana, kuna apps kibao wamezitoa hata kusideload huwezi. Labda kama unataka box la netflix na youtube tu, maana hata amazon prime kwa huku kwetu wameitoa.
 
zinakuwa kama na application (standalone) ambayo inaitwa roku inayokuwezesha ku stream channel karibu 2500
inakuwa na vitu kama WatchESPN Netflix n.k
ukitofautisha na hii yangu ina linux os ram 750mb internal storage 4gb yenyewe haina vitu vingi sana ila netflix,youtube vipo pia store ipo kwa ajili ya kudownload apps kwa mimi inanitosha
Ukitaka kujua ukubwa wa Ram na Internal storage ktk Tcl unacheki wapi ninayo tcl smart TV inch 32

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCL smart tv zipo fresh hapa Nnayo moja hivi inch 32 sema sio roku tv. yenyewe ina linux haina android ila ina Netflix,youtube etc
ipo fresh
vile vile ina kang'amuzi ndani kwa ndani naweza kupata ITV,Capital,Eatv,star tv na nyinginezo
Unazipataje hizo ITV star na wengineo. Hebu nipe mbinu mkuu?
 
Mkuu shida unajua nini? Wauzaji wanasema wana roku Tv lakin ukifka dukani sio roku

Hata amazinglifestyle wale wa sinza,wanapost insta TCL roku TV ,sasa nenda dukani kwao uone unachokutana nacho.


Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ao maboya ndio nimenunua TCL kwao walinifanyia hivyo hivyo. Wakaniuzia GoLive Tv ubaya nilimuagiza sista anichukulie. Ningeenda mwenyewe ningeikataa!
 
Ao maboya ndio nimenunua TCL kwao walinifanyia hivyo hivyo. Wakaniuzia GoLive Tv ubaya nilimuagiza sista anichukulie. Ningeenda mwenyewe ningeikataa!
Hahah polee sana mkuu..hawa jamaa manazi

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Unazipataje hizo ITV star na wengineo. Hebu nipe mbinu mkuu?
simple sana mkuu chomeka antena kwenye tv yako then source weka iwe TV kisa nenda setting >>channel search hapo search digital channels tuu zitakuja kama channel 67 sema zingine ni za star times zipo scrambled ila za IPP media zote zinashika na star tv pia na channel moja ivi ya didi
 
Nimefanikisha kupata tcl leo kama nilivyoitaji sasa iko king'amuzi cha ndani ya tv na napataje chanel za kibongo kama itv??
20190413_154244.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom