Msaada kuhusu kuhusu Smart Tv (TCL)

Msaada kuhusu kuhusu Smart Tv (TCL)

Sawa nawezaje fanya ili niisuport iwe na local channel ukiacha hivi visimbusi.
Pia kwa 450,000

Unashauri nichukue hiyo smart au nichukue LED tupu kwa 330,000 LED 32D3000.
Possible inaweza kuwa nayo
Yangu ni version ya chini kidogo na ina kingamuzi cha ndani
Angalia hii model number
20191105_152849.jpg
 
Vipi muonekano wa picha wa hii TV na vitu vingine mkuu kiujumla na ulichukua ngapi boss?
Iko vizuri sana mkuu, ina kingamuzi, ni smart tv (Youtube, google, Netflix ni ya kulipia).
Muonekano wa picha ni mzuri full HD, ukipata kingamuzi chenye picha nzuri mfano Dstv kwakwel unaenjoy
Nilichukua kwa 550K....
 
A
Iko vizuri sana mkuu, ina kingamuzi, ni smart tv (Youtube, google, Netflix ni ya kulipia).
Muonekano wa picha ni mzuri full HD, ukipata kingamuzi chenye picha nzuri mfano Dstv kwakwel unaenjoy
Nilichukua kwa 550K....
Anhaa kwa hiyo hata hiyo ya 32S6500S bila shaka itakuwa nayo.
 
Wana ofisi hapa Tanzania hivyo sidhani kama zinasumbua vifaa zikiharibika, ila kuwa makini kama itakuwa ni tv ambayo hawajaileta wap wenyewe unaweza ukakosa.
ofisi zao zipo wapi? au ni duka gani naweza kupata tcl original?
 
Ila si advice kutumia roku kwa sasa wamepiga fyagio la maana, kuna apps kibao wamezitoa hata kusideload huwezi. Labda kama unataka box la netflix na youtube tu, maana hata amazon prime kwa huku kwetu wameitoa.
Naomba kufahamu LCD za smart TV ikiharibuka spare zake zinapatikana.

Chief-Mkwawa
 
Mkuu tv kuwa smart ama kutokuwa smart hakuna mahusiano na upatikanaji wa spare.

Kampuni ikiwa kwenye nchi fulani ama bidhaa nyingi zikiwepo basi na spare pia zinakuwepo nyingi.

Hivyo itategemea na brand na upatikanaji wa hio model.
Brand ya sundar TV, na Zingine za brand Kama hiyo zimenunuliwa Sana na kuhalibika LCD zake. Mimi Nilikuwa nazitafuta kwa ajiri ya biashara, iwe Dubai au China nawaza kuagiza. Shida Najitahidi kuzitafuta lakini sizipati spare hizi.
 
Brand ya sundar TV, na Zingine za brand Kama hiyo zimenunuliwa Sana na kuhalibika LCD zake. Mimi Nilikuwa nazitafuta kwa ajiri ya biashara, iwe Dubai au China nawaza kuagiza. Shida Najitahidi kuzitafuta lakini sizipati spare hizi.
Hizi brand ndogo huwa wanashare panel mkuu, cha muhimu fanya tafiti mwenyewe ama tafuta fundi mjanja mjanja fungueni panel moja iingie mtaani then linganisha na brand za kichina china kama singsung, boss, star x, blackview etc unaweza pata.
 
Hizi brand ndogo huwa wanashare panel mkuu, cha muhimu fanya tafiti mwenyewe ama tafuta fundi mjanja mjanja fungueni panel moja iingie mtaani then linganisha na brand za kichina china kama singsung, boss, star x, blackview etc unaweza pata.
OK. But hizo za Singsum, boss etc LCD zake zinapatikana wapi?. Wapi wanaziuza?. Maana issue siyo brand ya sundar TV tu Bali Ni kwa General, LCD za smart TV zinauzwa wapi?
 
Wana ofisi hapa Tanzania hivyo sidhani kama zinasumbua vifaa zikiharibika, ila kuwa makini kama itakuwa ni tv ambayo hawajaileta wap wenyewe unaweza ukakosa.
Nisaidiwe vile maweza kupata kioo cha smart TCL 32, Niko Tanga bt nategemea kutua dar December. Wapi naweza pata hii spare, na makadirio ni kiasi gani, tafadhali mkuu mkwawa
 
Nisaidiwe vile maweza kupata kioo cha smart TCL 32, Niko Tanga bt nategemea kutua dar December. Wapi naweza pata hii spare, na makadirio ni kiasi gani, tafadhali mkuu mkwawa
OK. But hizo za Singsum, boss etc LCD zake zinapatikana wapi?. Wapi wanaziuza?. Maana issue siyo brand ya sundar TV tu Bali Ni kwa General, LCD za smart TV zinauzwa wapi?
Baadhi ya search result za google.



Hawa wanasema wapo msimbazi jengo la simba


Sema bei zinakuwa ndefu 200k mpaka 300k
 
TCL ni Brand ya Product , Android in Operating System. sasa hebu tueleze hizo TCL zinatumia mfumo upi(Operating System)??
Zamani walikuwa wakitumia roku na Opera/linux smart tv os. Ila model zao za sasa hivi ndio wanatumia Android tv.
 
Back
Top Bottom