Msaada kuhusu kikuu, naona iphone 12 kwa bei chee

Hata eBay sasaivi imejaa wachina...issue sio mchina au market fulani.. issue ni Description, Specifications na reviews,sellers sio wajinga..ukisoma hapo specification na description seller hana hatia..shida ni watu wa wenyew hawazingatii...mfano lets say unaingia jiji au kupatana,unaandika kbisa simu ina shida ya mic ,lakin mtu hasomi description ananunua hivyo hivyo..akifka kwake anaanza piga simu...hapo hakuna dispute coz sellers amesha declare kila kitu...shida ni wanunuaji

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Issue ni kwamba wachina siyo waaminifu hata kidogo-Hata description huwa wana-fake ili mteja ujichanganye wakupige mitama userereke mwenyewe 🤣 🤣 .Kama ulisoma vyema post yangu ukaielewa,nilisema hata Amazon ameshaanza kuwa-ban suppliers wengi kutoka china kwa sababu wana manipulate wateja hivyo wanaaribu credibility ya site zao.
 
Habari wakuu,

Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..

NawasilishaView attachment 1914221
Mzee soma tangazo vizuri.. hakuna sehemu wamesema hio simu ni iphone 12..

Tangazo linasena simu ni i12 pro max 8G smartphone... tena wamekuwekea hadi android 8.1.. tatizo sio wao tatizo ni wewe hutaki kusomA vizri
 
Sio iPhone izo ni mchina tena mchina kwel kwel zinaitwa vnus ,bora ata itel kuliko iyo
 
"But a few months ago, the e-commerce giant began suspending the accounts of some of its large and successful Chinese merchants. The reason, it emerged, was abuse of Amazon’s review system. Since then, Amazon has shuttered at least 50,000 stores operated by Chinese merchants, according to a Shenzhen-based trade group, for behaviors such as soliciting fake reviews and offering gift cards to reviewers, the latter being a normal practice in China but one that violates Amazon’s policies."
 
Each and everything nowadays is valuable for your money.....
IF YOU HV AN ENOUGH MONEY UTAPATA KITU QUALITY TU, KO ME ATA C ONI MAAJABU YYT LABDA MKWANJA WAKE NA AKILI ZAKE ZA KUSHINDWA KUPAMBANUA VITU NDO UMEKWAMIA APO.
 
Issue ni kwamba wachina siyo waaminifu hata kidogo-Hata description huwa wana-fake ili mteja ujichanganye wakupige mitama userereke mwenyewe .Kama ulisoma vyema post yangu ukaielewa,nilisema hata Amazon ameshaanza kuwa-ban suppliers wengi kutoka china kwa sababu wana manipulate wateja hivyo wanaaribu credibility ya site zao.
Binafsi sjaona description wakiongopa....coz ukiongopa description basi automatically dispute itamuua seller mwenyew na pengine atakula ban...natumia ali express sana...watu wengi wanapotea kweny description na specifications....hili watu walizngantie sana....na kama kuna site ina support hao sellers wenye description za uwongo basi huo mtandao kimbia haraka sana...

Mfano ali express kama product haija match seller's description basi ni msiba kwa seller huo

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Binafsi sjaona description wakiongopa....coz ukiongopa description basi automatically dispute itamuua seller mwenyew na pengine atakula ban...natumia ali express sana...watu wengi wanapotea kweny description na specifications....hili watu walizngantie sana....na kama kuna site ina support hao sellers wenye description za uwongo basi huo mtandao kimbia haraka sana...

Mfano ali express kama product haija match seller's description basi ni msiba kwa seller huo

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Binafsi nimeshaagiza products aliexpress na zikafika zikiwa mbovu.Dispute mechanism yao ni kisanga kiasi kwamba mteja unakata tamaa kabisa.Wachina ni walewale-Na sifa kubwa ya mchina duniani ni kuuza fake products na uwongouwongo-Hivyo wala sikuwa surprised.
 
Binafsi nimeshaagiza products aliexpress na zikafika zikiwa mbovu.Dispute mechanism yao ni kisanga kiasi kwamba mteja unakata tamaa kabisa.Wachina ni walewale-Na sifa kubwa ya mchina duniani ni kuuza fake products na uwongouwongo-Hivyo waka sikuwa surprised.
Pole sana mkuu...mim bwana sijawah pata tabu na Ali express...isipokua ebay kuna siku ndio nikapigwa na seller na refund sikuiona hadi leo

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Angalia haya maneno mawili
  • samsung
  • sangsung

Utaona hapo mtu kategewa, atauziwa sangsung, na mnunuzi atazani kanunua samsung

Turudi kwenye swala lako:
Hizo ni chines mobile phone, zenye mwenekano na Apple iPhone 12, ila kiuhalisia sio iphone yenyewe.
--
Jambo la pili.-
- Angalia bei waliyoukuandikia yaani mfano unawekewa bei ya Gari aina ya V8 ila bei ni ya kirikuuu, Japokuwa kwa Tz huwa inatokea v8 ya milioni 140 unauziwa kwa chini ya milioni tano

View attachment 1914229
mkuu hivi kuagiza iphone 12 rom 256 na ram 4/6gb mpaka ikanifikia bongo inacost kama wangapi hivi? Na kwa siku ngapi nitaisubiri?
 
Pole sana mkuu...mim bwana sijawah pata tabu na Ali express...isipokua ebay kuna siku ndio nikapigwa na seller na refund sikuiona hadi leo

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Kila mtu na MUNGU wake mkuu-MUNGU amekupigania 🤣 🤣 🤣 ,ila wengi sana wana bad experience sana na wachina,Siku ukipata wasaa jaribu kuwauliza wafanyabiashara wakubwa wazoefu wanao-agiza mizigo china,waulize kwa nn wanachoma nauli za ndege kila siku kwenda China kwa the same supplier kununua product na kuhakikisha zimeingizwa kwenye carriers badala ya kuwatumia hela ili kupunguza gharama na usumbufu 🤣🤣? Alafu muulize ni kwann mkiagiza mizigo South Africa mnatuma tu hela kwenye account ya supplier bank? Hapa utaelewa picha kamili
 
Binafsi nimeshaagiza products aliexpress na zikafika zikiwa mbovu.Dispute mechanism yao ni kisanga kiasi kwamba mteja unakata tamaa kabisa.Wachina ni walewale-Na sifa kubwa ya mchina duniani ni kuuza fake products na uwongouwongo-Hivyo wala sikuwa surprised.
Maajabu ni kuwa wanapata sapoti kubwa kutoka kwa serikali yao.
Serikali ya China inasaidia kampuni za China kuwaibia watu.
 
Habari wakuu,

Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..

NawasilishaView attachment 1914221
Hakuna sehemu wameandika neno "iphone" hapo kuwa makini - hizo ni simu mbovu mbovu tu za kichina
 
Maajabu ni kuwa wanapata sapoti kubwa kutoka kwa serikali yao.
Serikali ya China inasaidia kampuni za China kuwaibia watu.
System yao yote ni corrupt kaka,Juzi walivyokamatwa wanatengeneza K-Vant kimagendo Tanzania wala sikushangaa.
 
Mkuu nunua.. .wahi haraka kabla hazijaisha...

Ila tusiulizane maswali utakapoona unawasha inakuandikia Android.

Wabongo wengi sana ni wazembe when it comes to attention to detail.

Hapo simu i12 pro max, wewe umeibatiza jina unaiita Iphone 12 pro max, ukipigwa utamlaumu nani?

Lipia tu.
 
Back
Top Bottom