magasi jnr
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 364
- 571
Habari wakuu,
Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..
Nawasilisha
Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..
Nawasilisha

ile nashika tu naona ni Android yenye Launcher ya iOS halafu kasema eti kaletewa toka Dubai, duh nlibak kusikitika tu