Msaada kuhusu kikuu, naona iphone 12 kwa bei chee

Msaada kuhusu kikuu, naona iphone 12 kwa bei chee

magasi jnr

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
364
Reaction score
571
Habari wakuu,

Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..

Nawasilisha
Screenshot_20210829-104007~2.jpg
 
Angalia haya maneno mawili
  • samsung
  • sangsung

Utaona hapo mtu kategewa, atauziwa sangsung, na mnunuzi atazani kanunua samsung

Turudi kwenye swala lako:
Hizo ni chines mobile phone, zenye mwenekano na Apple iPhone 12, ila kiuhalisia sio iphone yenyewe.
--
Jambo la pili.-
- Angalia bei waliyoukuandikia yaani mfano unawekewa bei ya Gari aina ya V8 ila bei ni ya kirikuuu, Japokuwa kwa Tz huwa inatokea v8 ya milioni 140 unauziwa kwa chini ya milioni tano

1630223888274.png
 
Habari wakuu,

Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..

NawasilishaView attachment 1914221

acha ushamba, wapi pameandikwa iphone?? utaiibiwa
 
Kwa hiyo bei hata iPhone used hupati aisee. Hata km mtu anashida vipi hawezi kuuza kwahiyo bei
Hizo ni chinise iPhone zenye chipset za mediatek na ni android
 
Hizo ni Chinese copy..hakuna sehem wameandika iPhone hapo,alafu kwa akili ya kawaida tu iPhone 12 inauzwaje laki na 80? Ukitaka kufanya online purchase angalia specifications, description na reviews hata kwa macho tu unaona huo ni mdosho..wakuu tusipende vitonga

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Hiyo sio iPhone. Imeandikwa i12, kuna zingine zinatwa s21 ziko kama samsung S21. hizo simu ni android sio iPHONE
fake iphone.jpg
 
Hizo ni Chinese copy..hakuna sehem wameandika iPhone hapo,alafu kwa akili ya kawaida tu iPhone 12 inauzwaje laki na 80? Ukitaka kufanya online purchase angalia specifications, description na reviews hata kwa macho tu unaona huo ni mdosho..wakuu tusipende vitonga

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Reviews siyo issue ya kuangalia sana hasa kwenye bidhaa za wachina-wachina ni waongo waongo na wezi-Amazon katimua maelfu ya suppliers kutoka china kwenye site yake based on fake reviews.Wachina wanatabia ya kuwanunua watu kuwafanyia review-Nilishawah kuagiza bidhaa iliyokuwa na 5 star kwenye reviews ila kiukweli nilikuwa nimepigwa.Wachina ni watu wa ovyoovyo sana,saa zingine bora hata na mbongo
 
Kuna mtu atakuja hapa kutoa ushuhuda wake,Yeye alinunua tyres za Altezza yake china yakaja matairi ya midoli- Wachina siyo wawazi kabisa-Mtu ukitaka kununua bidhaa original na yenye maelezo ya kueleweka ingia Ebay,Amazon and etc. ,huko magumashi ni ngumu sana-Hata dispute inapotokea ni rahisi kupata solution nzuri kama mteja
 
Angalia haya maneno mawili
  • samsung
  • sangsung

Utaona hapo mtu kategewa, atauziwa sangsung, na mnunuzi atazani kanunua samsung

Turudi kwenye swala lako:
Hizo ni chines mobile phone, zenye mwenekano na Apple iPhone 12, ila kiuhalisia sio iphone yenyewe.
--
Jambo la pili.-
- Angalia bei waliyoukuandikia yaani mfano unawekewa bei ya Gari aina ya V8 ila bei ni ya kirikuuu, Japokuwa kwa Tz huwa inatokea v8 ya milioni 140 unauziwa kwa chini ya milioni tano

View attachment 1914229
Shukrani mkuu, umeokoa jahazi
 
Kuna mtu atakuja hapa kutoa ushuhuda wake,Yeye alinunua tyres za Altezza yake china yakaja matairi ya midoli- Wachina siyo wawazi kabisa-Mtu ukitaka kununua bidhaa original na yenye maelezo ya kueleweka ingia Ebay,Amazon and etc. ,huko magumashi ni ngumu sana-Hata dispute inapotokea ni rahisi kupata solution nzuri kama mteja
Hata eBay sasaivi imejaa wachina...issue sio mchina au market fulani.. issue ni Description, Specifications na reviews,sellers sio wajinga..ukisoma hapo specification na description seller hana hatia..shida ni watu wa wenyew hawazingatii...mfano lets say unaingia jiji au kupatana,unaandika kbisa simu ina shida ya mic ,lakin mtu hasomi description ananunua hivyo hivyo..akifka kwake anaanza piga simu...hapo hakuna dispute coz sellers amesha declare kila kitu...shida ni wanunuaji

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom