Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
habari zenu wakuu. Naombeni mnisaidie..kuna mtu amenipa laptop yake nimsaidie mpya ya lenovo nimsaidie kuweka baadhi ya programs na kumake sure everything kiko sawa then nimrudishie..ile laptop wakati naiwasha ilionekana kuwa na OS mbili (windows7 & linux).Hii version ya linus sijui ni ipi lakini nilihisi ni fedora. Sikuhangaika na linux sababu huyo mtu ni mtumiaji wa windows tu sema alipewa hii laptop ikiwa na linux. nilimuwekea antivirus,browser,vlc,video converter,burner na software nyingine muhimu ambazo ni zakawaida kwa matumizi ya kila siku.
baada ya hapo nilifungua my computer nikaona partition tatu lakini moja ilikuwa inakataa kufunguka kabisa na nilipojaribu kuiformat kwa kuright click then format ikakataa. basi nikaamua niende kwenye diskmanagement nikaiformat ikakubali. niliporudi kwenye my computer nikakuta ile partition iliyokuwa inakataa bado inaonekana na kuna hii nyingine ambayo ndo mpya nimeformat(inatotal space ya kwenye previous partition iliyokataa). nilivyozima laptop baadaye na kuiwasha tena nikakuta error inasema "unknown filesystem" alafu baada ya hapo ikaandika "grub rescue>".
baada ya kutafakari kuhusu hii error nikakugundua nitakuwa nimeformat partition ya linux so nimefuta bootloader. hii imenishangaza kidogo kwa sababu nilishawahi kutumia ubuntu na windows pamoja lakini kila nilipoingia kwenye windows sijawahi kuona partition ya ubuntu na ndiyo maana hata sikudhani kuwa ile partition iliyokuwa inakataa ni ya linux.
sasa naombeni msaada jinsi gani ya kusolve hiyo error ili niweze kuaccess windows7 na kuitumia kama kawaida.
baada ya hapo nilifungua my computer nikaona partition tatu lakini moja ilikuwa inakataa kufunguka kabisa na nilipojaribu kuiformat kwa kuright click then format ikakataa. basi nikaamua niende kwenye diskmanagement nikaiformat ikakubali. niliporudi kwenye my computer nikakuta ile partition iliyokuwa inakataa bado inaonekana na kuna hii nyingine ambayo ndo mpya nimeformat(inatotal space ya kwenye previous partition iliyokataa). nilivyozima laptop baadaye na kuiwasha tena nikakuta error inasema "unknown filesystem" alafu baada ya hapo ikaandika "grub rescue>".
baada ya kutafakari kuhusu hii error nikakugundua nitakuwa nimeformat partition ya linux so nimefuta bootloader. hii imenishangaza kidogo kwa sababu nilishawahi kutumia ubuntu na windows pamoja lakini kila nilipoingia kwenye windows sijawahi kuona partition ya ubuntu na ndiyo maana hata sikudhani kuwa ile partition iliyokuwa inakataa ni ya linux.
sasa naombeni msaada jinsi gani ya kusolve hiyo error ili niweze kuaccess windows7 na kuitumia kama kawaida.