Msaada kuhusu Elimu yangu!!

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,261
Baada ya kutafakari sana nimeona hapa ndio sehemu pekee ya kupata msaada wa kuelewa elimu yangu ipo wapi,

Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine
Ndio nikaanza kusoma Certificate ya Computer Repair & Maintenance, nilipomaliza nikajiunga na Diploma ICT nikafanya nikamaliza, nilipomaliza diploma nikaenda kufanya Advance diploma ya International Adv IT so kwa sasa nipo hivyo.

Sasa kikubwa ninachotaka kufahamu, je nipo kwenye LEVEL gani kama nikitaka kutafuta ajira?

Msaada wenu ni muhimu sana kwangu
 
Baada ya kutafakari sana nimeona hapa ndio sehemu pekee ya kupata msaada wa kuelewa elimu yangu ipo wapi,

Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine
Ndio nikaanza kusoma Certificate ya Computer Repair & Maintenance, nilipomaliza nikajiunga na Diploma ICT nikafanya nikamaliza, nilipomaliza diploma nikaenda kufanya Advance diploma ya International Adv IT so kwa sasa nipo hivyo.

Sasa kikubwa ninachotaka kufahamu, je nipo kwenye LEVEL gani kama nikitaka kutafuta ajira?

Msaada wenu ni muhimu sana kwangu

Mkuu hiyo siyo issue kubwa kwa ninavyojua mimi unakuwa tu kwenye level ya mwisho so hapo upo kwenye level ya AD, ila kwa wanaojua zaidi watakusaidia
 
Baada ya kutafakari sana nimeona hapa ndio sehemu pekee ya kupata msaada wa kuelewa elimu yangu ipo wapi,

Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine
Ndio nikaanza kusoma Certificate ya Computer Repair & Maintenance, nilipomaliza nikajiunga na Diploma ICT nikafanya nikamaliza, nilipomaliza diploma nikaenda kufanya Advance diploma ya International Adv IT so kwa sasa nipo hivyo.

Sasa kikubwa ninachotaka kufahamu, je nipo kwenye LEVEL gani kama nikitaka kutafuta ajira?

Msaada wenu ni muhimu sana kwangu
broda una ilimu kubwa sana
undergraduate ina maana uko equivalent na degree holder u can work in anywhere duniani
 
wewe ni sawasawa na second year in a university kwahiyo unaweza unga university yoyote uingine second year. Umebakiza kama miaka miwili ya kusoma uwe na degree.
 
wewe ni sawasawa na second year in a university kwahiyo unaweza unga university yoyote uingine second year. Umebakiza kama miaka miwili ya kusoma uwe na degree.
are u serious?
 
Mkuu hiyo siyo issue kubwa kwa ninavyojua mimi unakuwa tu kwenye level ya mwisho so hapo upo kwenye level ya AD, ila kwa wanaojua zaidi watakusaidia

broda una ilimu kubwa sana
undergraduate ina maana uko equivalent na degree holder u can work in anywhere duniani

wewe ni sawasawa na second year in a university kwahiyo unaweza unga university yoyote uingine second year. Umebakiza kama miaka miwili ya kusoma uwe na degree.

hii nayo kali...

duh.............

are u serious?

Kiukweli wadau mmeniacha njia panda, bado nahitaji mawazo mapya kwenye hili suala
 
Kiukweli wadau mmeniacha njia panda, bado nahitaji mawazo mapya kwenye hili suala
Ulizia wizara ya elimu, nahisi wanaweza kukusaidia... kwa sababu wao ndio wenye kushughurika na mitaala ya kielimu.
 
unauliza ili uapply kazi, shule ama!??
maana sababu pia inadetermine jibu utakalopata!
 
Mkubwa hapo yote mawili, kazi na shule

Nifahamuvyo kikazi Advanced diploma ni equivalent to an undergraduate degree na kielimu ni hivyo but kwenda masters lazima uwe na other qualifications...alafu wanabase sana kwenye matokeo yako ya nyuma. So ni afadhali kupiga PGD.
 
Baada ya kutafakari sana nimeona hapa ndio sehemu pekee ya kupata msaada wa kuelewa elimu yangu ipo wapi,

Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine
Ndio nikaanza kusoma Certificate ya Computer Repair & Maintenance, nilipomaliza nikajiunga na Diploma ICT nikafanya nikamaliza, nilipomaliza diploma nikaenda kufanya Advance diploma ya International Adv IT so kwa sasa nipo hivyo.

Sasa kikubwa ninachotaka kufahamu, je nipo kwenye LEVEL gani kama nikitaka kutafuta ajira?

Msaada wenu ni muhimu sana kwangu

Unapoulizwa una elimu gani swali hilo hujibiwa kwa kiwango cha elimu ya juu ulichokipata. Kwa mantiki hiyo wewe ni AD holder.
 
Nifahamuvyo kikazi Advanced diploma ni equivalent to an undergraduate degree na kielimu ni hivyo but kwenda masters lazima uwe na other qualifications...alafu wanabase sana kwenye matokeo yako ya nyuma. So ni afadhali kupiga PGD.
Dah mkuu umenisaidia sana, sasa je hawa waajiri wanakuwa na uelewa wa kutosha juu ya hilo, chukulia mfano kwa haya majeshi yetu sidhani kama wanaelewa hilo, iwapo wanahitaji watu wenye degree au equivalent naweza kupokelewa?

Unapoulizwa una elimu gani swali hilo hujibiwa kwa kiwango cha elimu ya juu ulichokipata. Kwa mantiki hiyo wewe ni AD holder.

Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom