JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Baada ya kutafakari sana nimeona hapa ndio sehemu pekee ya kupata msaada wa kuelewa elimu yangu ipo wapi,
Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine
Ndio nikaanza kusoma Certificate ya Computer Repair & Maintenance, nilipomaliza nikajiunga na Diploma ICT nikafanya nikamaliza, nilipomaliza diploma nikaenda kufanya Advance diploma ya International Adv IT so kwa sasa nipo hivyo.
Sasa kikubwa ninachotaka kufahamu, je nipo kwenye LEVEL gani kama nikitaka kutafuta ajira?
Msaada wenu ni muhimu sana kwangu
Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine
Ndio nikaanza kusoma Certificate ya Computer Repair & Maintenance, nilipomaliza nikajiunga na Diploma ICT nikafanya nikamaliza, nilipomaliza diploma nikaenda kufanya Advance diploma ya International Adv IT so kwa sasa nipo hivyo.
Sasa kikubwa ninachotaka kufahamu, je nipo kwenye LEVEL gani kama nikitaka kutafuta ajira?
Msaada wenu ni muhimu sana kwangu