Unaanza uzalendo, ukuruta, service man/girl, bakabaka, then inakuja course ya maafisa anaenda. Ila mambou yamebadilika inaweza chukua muda kupata nyota. Kulingana na nlivyopita mujibu wa sheria, 😜 😜 😉Elimu ya kidato cha sita ni tosha kwenda officers cadett course. Zamani ilikuwa waliomaliza form six ni lazima kwenda JKT mujibu wa sheria, na ukiwa kwenye mafunzo mnapewa nafasi ya kujiunga jeshi kwa anayetaka. Hivyo baada ya miezi sita ya ukuruta unarushwa Chuo cha maafisa Monduli, kule ukimaliza unaanza na nyota moja( luteni usu)