Mdogo wako ana shahada ya chuo kikuu. Papo hapo bado anakuhitaji wewe kumwandikia kuulizia juu ya ajira! Hii inanipa mashaka na elimu aliyopata.Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nina mdogo wangu wa kike anahitaji kwenda jeshini ili aje kuwa mwanajeshi officer yaani mwenye nyota, na elimu yake ni bachelor degree.
Kwa anayefahamu, ninaomba kujua jeshini inahitajika elimu gani ili mtu aweze kuwa officer yaani kuwa na nyota? Pia ningependa kujua na mishahara ya kila cheo kama ikiwezekana.
Na je, course za officers huwa zinachukua muda gani kuhitimu hadi apewe hicho cheo? Yaani kuanzia JKT hadi TMA jumla ni muda gani na je kama anataka kuwa officer ni lazima apitie kwanza JKT au anaweza hata kwenda TMA moja kwa moja?
Kwa anayejua chochote kuhusiana na haya mambo msaada tafadhali.
Halafu hasemi ni shahada ya nini, unaenda jeshi na shahada ya wildlife unategemea niniMdogo wako ana shahada ya chuo kikuu. Papo hapo bado anakuhitaji wewe kumwandikia kuulizia juu ya ajira! Hii inanipa mashaka na elimu aliyopata.
Mkuu nimetafuta sehemu niliyoandika kuwa huyo mdogo wangu ananihitaji mimi nimuandikie nimuulizie juu ya ajira ila hiyo sehemu nimeikosa labda wewe uninukuu kisha unionyeshe ni wapi nimeandika hivyoMdogo wako ana shahada ya chuo kikuu. Papo hapo bado anakuhitaji wewe kumwandikia kuulizia juu ya ajira! Hii inanipa mashaka na elimu aliyopata.
Kama unapenda jeshi nenda kajiunge,Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nina mdogo wangu wa kike anahitaji kwenda jeshini ili aje kuwa mwanajeshi officer yaani mwenye nyota, na elimu yake ni bachelor degree.
Kwa anayefahamu, ninaomba kujua jeshini inahitajika elimu gani ili mtu aweze kuwa officer yaani kuwa na nyota? Pia ningependa kujua na mishahara ya kila cheo kama ikiwezekana.
Na je, course za officers huwa zinachukua muda gani kuhitimu hadi apewe hicho cheo? Yaani kuanzia JKT hadi TMA jumla ni muda gani na je kama anataka kuwa officer ni lazima apitie kwanza JKT au anaweza hata kwenda TMA moja kwa moja?
Kwa anayejua chochote kuhusiana na haya mambo msaada tafadhali.
Mwee HayaKama unapenda jeshi nenda kajiunge,
Vyeo au mshahara visiwe miongoni mwa sababu ya kukupeleka jeshini.
Jeshini kuna hii inaitwa flexibility,,
Yaani muda wowote tegemea lolote kutokana na situation iliyopo...
Kila la heri.
.
Intake ni kulingana na hitajio, ila cadet kila baada ya miaka mitatu. If you are interested njoo PM nikujuze vizuri.Kwahiyo na intake watakuwa wanachukua kila baada ya miaka mitatu? Maana mbona hata degree nyingi vyuoni ni miaka mitatu na bado kila mwaka watu wanagraduate? Labda waseme wasiwe wanachukua intake kila mwaka
Ila kama wakiwa wanachukua basi wajue lazima kila mwaka wataapisha tu maana wakati wengine wanamaliza kuna wengine watakuwa wapo katikati na kuna wengine watakuwa ndo wanaanza
Yaani awe magereza au kivipi? Sijaelewa mkuu.
Nimekupata Mkuu,sikubahatika kumfatilia ni Engineer wa niniMkuu mbona huwi specific ili watu wajue, kuna baadhi ya field za engineering hazihitajiki jeshini, nijuavyo mimi fani ya civil, It,electrical na mechanical uhitaji wake upo hususan kwa ajili ya sera ya viwanda, ujenzi nk ambavyo jeshi limejikita, yy ni engineer wa nini, pili pamoja na proffesion wanaangalia pia na tabia na utayari wa muhusika
Aisee Kanali co kizembe kama watu wanavyofikiria maana kuna vyeo kama vitano hapo ndo umfikie Kanali kwa upande wa nyotaLkn kanali sio mtu mdogo mkuu.
Hali imebadirika mkuu hata ukiwa na mbanga haukupi guarantee ya kukukingia mgongo Mana nao wanaogopa kutumbuliwa na amri jeshi mkuu .We tulia ufanye maisha mengine... Hakuna wajuvi humu tutakurusha tu humu.
Nina mdogo wangu karudi juzi na aliingia na degree ya archtecture toka ardhi..
Karudi juzi nikiwa na maana kakosa ajira na degree yake.. Na hapo alishakaa kule miaka miwili wakaambiwa waongezewe 6 wasubiri ajira na bado mambo yakaenda mlama... Nipo nae hapa anapiga chai huku anajilaumu kupoteza muda wake na kuacha deal zake kibao..
Kama shule hipo msimamie apate michongo mingine.. Kama hamna shule mtie business maisha yaende.
Kule ni bahati tu man.. Teena bipa referee hata iyo bahati unaweza usipate.
Hamna kilicho badilika Mkuu,jeshini ni order tu inatolewa kitu kinatekelezwa nakupa mfano hai majuzi hapa kuna waliorudi makwao ila kati ya hao waliopaswa kurudi nyumbani kuna watu walikuwa na marefa na wamebakishwa vikosini.Hali imebadirika mkuu hata ukiwa na mbanga haukupi guarantee ya kukukingia mgongo Mana nao wanaogopa kutumbuliwa na amri jeshi mkuu .
Mkuu nadhani nilikwambia kule tunafuata uzalendo na sio pesa/vyeo,soma hio link hapo chini mkuu.Yeye anataka kuwa mwanajeshi!
Mkuu nadhani nilikwambia kule tunafuata uzalendo na sio pesa/vyeo,soma hio link hapo chini mkuu.
![]()
Kanali mstaafu wa JWTZ analipwa Pensheni 22,000/= na Jenerali analipwa 50,000/=
Kanali mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Ameen Kashimir, ameilalamikia serikali kwa kutotambua mchango wake licha ya kuinusuru serikali wakati wa maasi ya jeshi hilo ya mwaka 1964. Kadhalika, alisema pamoja na mchango wake kwa taifa mpaka sasa analipwa Sh. 22,000 kwa mwezi kama...www.jamiiforums.com
Degree ya thermometer.Degree ya nini, sio kila degree inahitajika jeshini, madaktari na engineers priority ipo juu kutokana na shughuli mfano ujenzi, viwanda, hospitals nk