Msaada kuhusu elimu na Vyeo Jeshini

Msaada kuhusu elimu na Vyeo Jeshini

Kupata ajira kwenye majeshi yetu sasa hivi ni mbinde,kila mwaka wanarudishwa nyumbani magraduate wakujitolea JKT baada ya kukaa huko zaidi ya miaka miwili.
Nina binamu yangu ni graduate batch yao wamerudishwa mwezi wa saba.
Aise
 
Habari zenu wakuu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nina mdogo wangu wa kike anahitaji kwenda jeshini ili aje kuwa mwanajeshi officer yaani mwenye nyota, na elimu yake ni bachelor degree.

Kwa anayefahamu, ninaomba kujua jeshini inahitajika elimu gani ili mtu aweze kuwa officer yaani kuwa na nyota? Pia ningependa kujua na mishahara ya kila cheo kama ikiwezekana.

Na je, course za officers huwa zinachukua muda gani kuhitimu hadi apewe hicho cheo? Yaani kuanzia JKT hadi TMA jumla ni muda gani na je kama anataka kuwa officer ni lazima apitie kwanza JKT au anaweza hata kwenda TMA moja kwa moja?

Kwa anayejua chochote kuhusiana na haya mambo msaada tafadhali.
Mdogo wako ana shahada ya chuo kikuu. Papo hapo bado anakuhitaji wewe kumwandikia kuulizia juu ya ajira! Hii inanipa mashaka na elimu aliyopata.
 
Mdogo wako ana shahada ya chuo kikuu. Papo hapo bado anakuhitaji wewe kumwandikia kuulizia juu ya ajira! Hii inanipa mashaka na elimu aliyopata.
Halafu hasemi ni shahada ya nini, unaenda jeshi na shahada ya wildlife unategemea nini
 
Mdogo wako ana shahada ya chuo kikuu. Papo hapo bado anakuhitaji wewe kumwandikia kuulizia juu ya ajira! Hii inanipa mashaka na elimu aliyopata.
Mkuu nimetafuta sehemu niliyoandika kuwa huyo mdogo wangu ananihitaji mimi nimuandikie nimuulizie juu ya ajira ila hiyo sehemu nimeikosa labda wewe uninukuu kisha unionyeshe ni wapi nimeandika hivyo

Ungejaribu kusoma walau baadhi ya comments na replies za kule juu au labda unadhani kila mtu yupo Jamii Forums? Sidhani kama ingekuchukua gharama yoyote kuniuliza ambapo hukuelewa kuliko kujipa uhakika wa hicho ulichokiandika!
 
Halafu hasemi ni shahada ya nini, unaenda jeshi na shahada ya wildlife unategemea nini
Kwa aliyehitaji kujua aliuliza kule juu na nilishamjibu
 
Habari zenu wakuu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nina mdogo wangu wa kike anahitaji kwenda jeshini ili aje kuwa mwanajeshi officer yaani mwenye nyota, na elimu yake ni bachelor degree.

Kwa anayefahamu, ninaomba kujua jeshini inahitajika elimu gani ili mtu aweze kuwa officer yaani kuwa na nyota? Pia ningependa kujua na mishahara ya kila cheo kama ikiwezekana.

Na je, course za officers huwa zinachukua muda gani kuhitimu hadi apewe hicho cheo? Yaani kuanzia JKT hadi TMA jumla ni muda gani na je kama anataka kuwa officer ni lazima apitie kwanza JKT au anaweza hata kwenda TMA moja kwa moja?

Kwa anayejua chochote kuhusiana na haya mambo msaada tafadhali.
Kama unapenda jeshi nenda kajiunge,
Vyeo au mshahara visiwe miongoni mwa sababu ya kukupeleka jeshini.

Jeshini kuna hii inaitwa flexibility,,

Yaani muda wowote tegemea lolote kutokana na situation iliyopo...

Kila la heri.

.
 
Kama unapenda jeshi nenda kajiunge,
Vyeo au mshahara visiwe miongoni mwa sababu ya kukupeleka jeshini.

Jeshini kuna hii inaitwa flexibility,,

Yaani muda wowote tegemea lolote kutokana na situation iliyopo...

Kila la heri.

.
Mwee Haya
 
Kwahiyo na intake watakuwa wanachukua kila baada ya miaka mitatu? Maana mbona hata degree nyingi vyuoni ni miaka mitatu na bado kila mwaka watu wanagraduate? Labda waseme wasiwe wanachukua intake kila mwaka

Ila kama wakiwa wanachukua basi wajue lazima kila mwaka wataapisha tu maana wakati wengine wanamaliza kuna wengine watakuwa wapo katikati na kuna wengine watakuwa ndo wanaanza
Intake ni kulingana na hitajio, ila cadet kila baada ya miaka mitatu. If you are interested njoo PM nikujuze vizuri.
 
Mkuu mbona huwi specific ili watu wajue, kuna baadhi ya field za engineering hazihitajiki jeshini, nijuavyo mimi fani ya civil, It,electrical na mechanical uhitaji wake upo hususan kwa ajili ya sera ya viwanda, ujenzi nk ambavyo jeshi limejikita, yy ni engineer wa nini, pili pamoja na proffesion wanaangalia pia na tabia na utayari wa muhusika
Nimekupata Mkuu,sikubahatika kumfatilia ni Engineer wa nini
 
Lkn kanali sio mtu mdogo mkuu.
Aisee Kanali co kizembe kama watu wanavyofikiria maana kuna vyeo kama vitano hapo ndo umfikie Kanali kwa upande wa nyota

1: Luteni ya kwanza(NYOTA MOJA)

2:Luteni ya pili. (NYOTA MBILI)

3: Kepteni. (NYOTA TATU)

4:Major. (BIBI NA BWANA)

5:Luteni Kanali. (BIBI NA BWANA NA NYOTA MOJA)

6:Kanali (BIBI NA BWANA NA NYOTA MBILI)
 
We tulia ufanye maisha mengine... Hakuna wajuvi humu tutakurusha tu humu.

Nina mdogo wangu karudi juzi na aliingia na degree ya archtecture toka ardhi..

Karudi juzi nikiwa na maana kakosa ajira na degree yake.. Na hapo alishakaa kule miaka miwili wakaambiwa waongezewe 6 wasubiri ajira na bado mambo yakaenda mlama... Nipo nae hapa anapiga chai huku anajilaumu kupoteza muda wake na kuacha deal zake kibao..

Kama shule hipo msimamie apate michongo mingine.. Kama hamna shule mtie business maisha yaende.

Kule ni bahati tu man.. Teena bipa referee hata iyo bahati unaweza usipate.
 
We tulia ufanye maisha mengine... Hakuna wajuvi humu tutakurusha tu humu.

Nina mdogo wangu karudi juzi na aliingia na degree ya archtecture toka ardhi..

Karudi juzi nikiwa na maana kakosa ajira na degree yake.. Na hapo alishakaa kule miaka miwili wakaambiwa waongezewe 6 wasubiri ajira na bado mambo yakaenda mlama... Nipo nae hapa anapiga chai huku anajilaumu kupoteza muda wake na kuacha deal zake kibao..

Kama shule hipo msimamie apate michongo mingine.. Kama hamna shule mtie business maisha yaende.

Kule ni bahati tu man.. Teena bipa referee hata iyo bahati unaweza usipate.
Hali imebadirika mkuu hata ukiwa na mbanga haukupi guarantee ya kukukingia mgongo Mana nao wanaogopa kutumbuliwa na amri jeshi mkuu .
 
Hali imebadirika mkuu hata ukiwa na mbanga haukupi guarantee ya kukukingia mgongo Mana nao wanaogopa kutumbuliwa na amri jeshi mkuu .
Hamna kilicho badilika Mkuu,jeshini ni order tu inatolewa kitu kinatekelezwa nakupa mfano hai majuzi hapa kuna waliorudi makwao ila kati ya hao waliopaswa kurudi nyumbani kuna watu walikuwa na marefa na wamebakishwa vikosini.

Jeshini aliye juu yako huwezi kumpinga akisema kitu kifanyike kinafanyika na sio ombi ni lazima ndo maana haya madude ya kubebana hayataisha kamwee!
 
Yeye anataka kuwa mwanajeshi!
Mkuu nadhani nilikwambia kule tunafuata uzalendo na sio pesa/vyeo,soma hio link hapo chini mkuu.

 
Nimeona na ndiyo maana nikasema yeye mdogo wangu anasema analipenda jeshi kutoka moyoni na ataenda bila kujali vikwazo vyovyote na wala hakuniomba mimi nimuulizie humu ila mimi ndiyo nimeona niulize ili nipate ujuzi na pia nimpe taarifa kwa atakayohitaji kuyajua kuhusu jeshi
Mkuu nadhani nilikwambia kule tunafuata uzalendo na sio pesa/vyeo,soma hio link hapo chini mkuu.

 
Back
Top Bottom