Yuzo mawe
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 494
- 550
Habari wakuu,
Mdogo wenu Yuzo mawe ni mzima kabisa,kwakweli ashukuriwe muumba wa mbingu na ardhi kwa kutufanya mpaka sasa hivi tunapumua,
Sasa ndugu 'zanguni' Wana jf nilikua naomba kujua majibu/facts ya maswali/vitu yafuatayo;-
1.CPA ina faida gani kwa bachelor's graduate?,
2. Je ni level gani ambayo graduate wa Bachelor ya accounting and Finance huanza?,
Napenda kutanguliza shukrani kwenu,
Asanteni.
Mdogo wenu Yuzo mawe ni mzima kabisa,kwakweli ashukuriwe muumba wa mbingu na ardhi kwa kutufanya mpaka sasa hivi tunapumua,
Sasa ndugu 'zanguni' Wana jf nilikua naomba kujua majibu/facts ya maswali/vitu yafuatayo;-
1.CPA ina faida gani kwa bachelor's graduate?,
2. Je ni level gani ambayo graduate wa Bachelor ya accounting and Finance huanza?,
Napenda kutanguliza shukrani kwenu,
Asanteni.