Msaada kuhusiana na Tiles

Msaada kuhusiana na Tiles

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Habarini WanaJf,

Naomba ushauri wa kufahamishwa kuhusu tiles nzuri za kuweka kwenye nyumba ambazo hazipauki na zenye gharama reasonable.

Nimeona kuna tiles za kampuni ya Goodone, Goodwill na Twyford na nlitaka kufahamishwa kua ni kampuni ipi yenye tiles zisizopauka na nzuri
 
Habarini WanaJf,

Naomba ushauri wa kufahamishwa kuhusu tiles nzuri za kuweka kwenye nyumba ambazo hazipauki na zenye gharama reasonable.

Nimeona kuna tiles za kampuni ya Goodone, Goodwill na Twyford na nlitaka kufahamishwa kua ni kampuni ipi yenye tiles zisizopauka na nzuri
JAMANI NA MIMI NAOMBA MSAADA MAANA NAONA KILA FUNDI ANAVUTIA KAMPUNI YA DUKA LENYE UBIA NAE....HAPA NAHISI KUCHANGANYIKIWA..
 
Ukifanikiwa kununua tiles,hakikisha gari lilobeba mzigo wako unalifuata nyuma,au upande ndani ya gari,wanachange cota balaa, within few minutes walishashusha mzigo na kupakia feki wenye rangi zilezile with poor quality.Epuka kuchaguliwa aina ya tiles na kishoka au mhudumu anaye jifanya kukujali sana mteja kuliko mwenye mali, utasikia hizi ni nzuri zinadumu kuliko hizo, shutka mkuu.

Kuna janjajanja nyingi ,kama nyumba ni kubwa na unanunua mzigo mwingi kwa pamoja ni bora uende kiwandani au kwa mwenye duka unayemwamini.
 
ukifanikiwa kununua tiles,hakikisha gari lilobeba mzigo wako unalifuata nyuma,au upande ndani ya gari,wanachange cota balaa, within few minutes walishashusha mzigo na kupakia feki wenye rangi zilezile with poor quality.Epuka kuchaguliwa aina ya tiles na kishoka au mhudumu anaye jifanya kukujali sana mteja kuliko mwenye mali, utasikia hizi ni nzuri zinadumu kuliko hizo, shutka mkuu.
Kuna janjajanja nyingi ,kama nyumba ni kubwa na unanunua mzigo mwingi kwa pamoja ni bora uende kiwandani au kwa mwenye duka unayemwamini.
JAMANI TUSAIDIENI IPI TILES BORA,UKIZINGATIA SIZE ZISIZOPISHANA KWENYE BOX MOJA.Maana kuna mafundi wawili tofauti wote kwa maelezo yao waliniambia kampuni fulan katiya hizo tajwa hapo juu,tiles size zinapishana hivyo huwafanya waonekane wao mafundi wabovu.

JUMAMOSI NAINGIA DUKANI NIKO DODOMA NAOGOPA KUINGIA CHAKA,nyumba yenyew kubwa af nimeijenga kwa tabu sn,ntaumia sn nikiingia chaka wandugu,ina 258 sqm za sakafuni tu.Na hiz ndio zinanipa mawazo,hela zenyew zilivyo za kuunga unga
 
Back
Top Bottom