wasaa9
JF-Expert Member
- Jun 9, 2017
- 566
- 209
Habar zenu wapendwa.
Mimi kama kijana mwenzenu ningependa kama itawezekana nimiliki nyumba ata chumba na sebure hapa Dar es salam sehemu yeyote kiwanja siyo tabu.
Kwa yeyote mwenye uzoefu wa kufahamu urahisi au ugumu wa material za ujenzi katika jiji hili la Dar es salaam anisaidie.
Mimi kama kijana mwenzenu ningependa kama itawezekana nimiliki nyumba ata chumba na sebure hapa Dar es salam sehemu yeyote kiwanja siyo tabu.
Kwa yeyote mwenye uzoefu wa kufahamu urahisi au ugumu wa material za ujenzi katika jiji hili la Dar es salaam anisaidie.