Msaada: Kudownload game la Eurotruck simulator 2 on android

Msaada: Kudownload game la Eurotruck simulator 2 on android

nimesota

Senior Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
123
Reaction score
53
Habari wakuu,nilikuwa naomba msaada kwa wajuzi wa hili game uwezekano wa kulicheza kwa kutumia simu yangu nmeangalia youtube wakielekeza lakin source zake nikifata zinagoma kudownload msaada kwa mwenye link au namna ya kulipata hili game,natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mwenyw Ni muhanga, nishawahi kulipata lakin walitaka kunijaribu Kama sio robot ili kulicheza ilo gem, ndug nilishindwa kufaulu ile test, niliambiwa install app mbil kutok playstore afu uzitumie, nilifanya ivo lakin bado halikuchezeka,, wanalifaidi ulaya huko kwa kutumia desktop ambazo wameunganisha na real steering
 
Hakuna Euro truck simulator 2 kweny simu.

Ila playstore kuna games zingine za truck unaweza kujarbu

Ushauri,kama unataka kuenjoy ETS2 basi tafuta pc kisha weka mod zako..

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Tafuta pc tu mkuu.


Hata hivyo lina mzuka mwanzoni tu. Linakinaisha baada ya muda mfupi tu.
Me ninalo but nina miezi now cjaligusa.

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
Euro truck utakinai kama unatembelea official map zile...

Ukitaka enjoy hii game..weka mods za kila aina

Funga horsepower ya kibabe

Badilisha gearbox ,upate gear had 22 uko

Change sound ile...weka sound ya V8 ,utaskia chuma inavyoitika

Horn unafunga mpya,funga sound ya wheel..yani tair inatembea inaachia sound flan hivi

Fanya paint ya kibabe nje,ndani funga skin za maana...

Cargo sasa,kuna mods za overload cargo zile..au unafunga pullin double trailers

Alaf tafuta map za russia ,brazil,peru

Yani unakutana na roughroad kama zote,milima,mabonde,bumps yani huez choka hii game...

Ila ukitembelea kila kitu official..basi hata level 10 hufik.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Euro truck utakinai kama unatembelea official map zile...

Ukitaka enjoy hii game..weka mods za kila aina

Funga horsepower ya kibabe

Badilisha gearbox ,upate gear had 22 uko

Change sound ile...weka sound ya V8 ,utaskia chuma inavyoitika

Horn unafunga mpya,funga sound ya wheel..yani tair inatembea inaachia sound flan hivi

Fanya paint ya kibabe nje,ndani funga skin za maana...

Cargo sasa,kuna mods za overload cargo zile..au unafunga pullin double trailers

Alaf tafuta map za russia ,brazil,peru

Yani unakutana na roughroad kama zote,milima,mabonde,bumps yani huez choka hii game...

Ila ukitembelea kila kitu official..basi hata level 10 hufik.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Napataje mods aiseeeh.

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Euro truck utakinai kama unatembelea official map zile...

Ukitaka enjoy hii game..weka mods za kila aina

Funga horsepower ya kibabe

Badilisha gearbox ,upate gear had 22 uko

Change sound ile...weka sound ya V8 ,utaskia chuma inavyoitika

Horn unafunga mpya,funga sound ya wheel..yani tair inatembea inaachia sound flan hivi

Fanya paint ya kibabe nje,ndani funga skin za maana...

Cargo sasa,kuna mods za overload cargo zile..au unafunga pullin double trailers

Alaf tafuta map za russia ,brazil,peru

Yani unakutana na roughroad kama zote,milima,mabonde,bumps yani huez choka hii game...

Ila ukitembelea kila kitu official..basi hata level 10 hufik.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mkuu naomba muongozo hivyo vitu navipata wapi? Mana mimi ninalo Euro simulator 2 kwenye pc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Euro truck utakinai kama unatembelea official map zile...

Ukitaka enjoy hii game..weka mods za kila aina

Funga horsepower ya kibabe

Badilisha gearbox ,upate gear had 22 uko

Change sound ile...weka sound ya V8 ,utaskia chuma inavyoitika

Horn unafunga mpya,funga sound ya wheel..yani tair inatembea inaachia sound flan hivi

Fanya paint ya kibabe nje,ndani funga skin za maana...

Cargo sasa,kuna mods za overload cargo zile..au unafunga pullin double trailers

Alaf tafuta map za russia ,brazil,peru

Yani unakutana na roughroad kama zote,milima,mabonde,bumps yani huez choka hii game...

Ila ukitembelea kila kitu official..basi hata level 10 hufik.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
aisee nilifanya vyote ivi still nikaikinai na kuifutilia mbali, ilikua mawaka 2017, miezi ya katikati ambapo nilimaliza Mario Map (98% explored road)
mashine ilkua Volvo fh12, V8, 150000HP (modded) , 30 gears auto , max speed 500Kph kwenye straight lane, 10 wheel - drive , axel ya 2 na ya mwisho zilikua tag-lift

sasa naona hamu inaanza rudi tena
 
aisee nilifanya vyote ivi still nikaikinai na kuifutilia mbali, ilikua mawaka 2017, miezi ya katikati ambapo nilimaliza Mario Map (98% explored road)
mashine ilkua Volvo fh12, V8, 150000HP (modded) , 30 gears auto , max speed 500Kph kwenye straight lane, 10 wheel - drive , axel ya 2 na ya mwisho zilikua tag-lift

sasa naona hamu inaanza rudi tena
Hahah sasa ww ndio umeifaidi ets2...sema kiukwel ukicheza kila siku utachoka..yani mi huwa nacheza nikiwa nataka refresh akil yangu..

Map yangu pendwa ni Ile ya Russia Baikal r9..baba humu kuna road had hutaman kuzima pc

Mario map nimepga route za misri uko unapasua mabara tu ..sema ilikua inaniuzi kweny kuload map inakaa sana pale mwanzo.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
kuload map inakaa sana pale mwanzo.

nili upgrade mashine, 16gb , core i5 , 4 cores @ 3.4GHz ikawa haimalizi dakika kulodi

nilikua naicheza na amna kulala, maana Volvo yenyewe ilikua inavutia sio nje tu mpaka ndani (skins, sound + lighting systems za kutosha) rims za matairi zile za bei mbaya, mashine ya nguvu, acceleration ya ukweli, nikiwa nimepaki ukanipita ghafla, nipe sekunde 10 na catch up na wewe, maana ngoma ndani ya sek 5 tayari speedo inasoma 300+

ili gem ni tamu mno, nakumbuka ramani na russia (kwa mario map) , upande wa kaskazini kule juu, daah ni fast lane mwanzo mwisho, nilikua sishuki chini ya 400, nili mod (scs file) curb na kuongeza uzito + kuongeza wheel base ili gari iwe stable zaidi kwenye kona za angle ninyooshe na 300 plus online radio 'truckers FM' ikiunguruma na mziki laiiini
 
nili upgrade mashine, 16gb , core i5 , 4 cores @ 3.4GHz ikawa haimalizi dakika kulodi

nilikua naicheza na amna kulala, maana Volvo yenyewe ilikua inavutia sio nje tu mpaka ndani (skins, sound + lighting systems za kutosha) rims za matairi zile za bei mbaya, mashine ya nguvu, acceleration ya ukweli, nikiwa nimepaki ukanipita ghafla, nipe sekunde 10 na catch up na wewe, maana ngoma ndani ya sek 5 tayari speedo inasoma 300+

ili gem ni tamu mno, nakumbuka ramani na russia (kwa mario map) , upande wa kaskazini kule juu, daah ni fast lane mwanzo mwisho, nilikua sishuki chini ya 400, nili mod (scs file) curb na kuongeza uzito + kuongeza wheel base ili gari iwe stable zaidi kwenye kona za angle ninyooshe na 300 plus online radio 'truckers FM' ikiunguruma na mziki laiiini
Daah we jamaa...umetisha sana..hapo kweny twist ya truck stability nimependa..mana mimi nikilaza kona na 200 lazma nile mzinga...

Nikawa natumia scs za online zile wanasema wmeimprove stability ila nying sikuzipend..tho kuna moja hiyo niliipenda,yani ili add kunesa kwa cabin ile...yani unapga brake chuma inanesa hadi basi ☇☇☇

Ila jamaa wa mario wametisha sana...unakuta unatoka urusi chuma inaenda USA daah..huko barabaran kuna kila aina ya kivutio...barabara kal sana

Bunda baya huko barabaran alaf mda huo umefunga no damage mods

Sema saiz nasaka sound ya FUSO fighter nifunge kweny Scania S yangu..napenda sana zile chafya za fusoo

Ila bahata mbaya juzi nime upgrade windows 10 kweny december update basi Ets2 yangu latest haiplay..dah

I wish ni dualboot na windowz 7 ikakae ets 2 tu basi.






Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Back
Top Bottom