Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 639
- 611
Salaam!
Naomba kupata ufafanuzi nini nifanye kwenye hili; Nilichukua mkopo wa Tzs. 5m hati ya dhamana.
Nimefanikiwa kurejesha Tzs. 4.3m hadi sasa. Deni lililobaki ni Tzs. 700,000 ambayo deni halisi ni 500,000 na 200,000 ni interest kwa kuchelewa kukamilisha rejesho, mpaka muda huu nipo nje ya muda wa rejesho, je kwa kuchelewa huko na kiwango kilichobaki nyumba inaweza kuuzwa yaani kupigwa mnada?
Naomba kupata ufafanuzi nini nifanye kwenye hili; Nilichukua mkopo wa Tzs. 5m hati ya dhamana.
Nimefanikiwa kurejesha Tzs. 4.3m hadi sasa. Deni lililobaki ni Tzs. 700,000 ambayo deni halisi ni 500,000 na 200,000 ni interest kwa kuchelewa kukamilisha rejesho, mpaka muda huu nipo nje ya muda wa rejesho, je kwa kuchelewa huko na kiwango kilichobaki nyumba inaweza kuuzwa yaani kupigwa mnada?