Msaada kazi kubwa ya VPN ni nini?

Msaada kazi kubwa ya VPN ni nini?

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
661
Wana JF naombeni Msaada wenu VPN kwenye maswala ya internet ina kazi gani?

Kwa upande Wangu nilikuwa nataka kujisecurity yani napokuwa nafungua website yeyote kwa kutumia smart phone Yangu wasiweze kunitrack nakujua IP Yangu na Mac address ya Simu Yangu nawaombeni wenye uwelewa mkubwa zaidi Yangu mnisaidie tafadhali.
 
Wana Jf naombeni Msaada wenu VPN kwenye maswala ya internet ina kazi gani? Kwa upande Wangu nilikuwa nataka kujisecurity yani napokuwa nafungua website yeyote kwa kutumia smart phone Yangu wasiweze kunitrack nakujua IP Yangu na Mac address ya Simu Yangu nawaombeni wenye uwelewa mkubwa zaidi Yangu mnisaidie tafadhali.

Sitaelezea sana vpn ni nini ila
VPN itakusaidia kutimiza malengo yako uliyokusudia ya kuhide IP address yako, sio kuhide bali niku mask your Real IP address nakukupa IP address nyingine pamoja na location nyingine... kulingana na aina ya VPN tunnel utakayotumia , itakusaidia ku encrypt your online activities... :A S wink:

By the way usiziamini sana hizi vpn tunnel kwani zipo njia nyingi tu zakujua who are you.
 
kuhide IP address yako, sio kuhide bali niku mask your Real IP address nakukupa IP address nyingine

A VPN Service doesn't give you a new IP address, a VPN server acts like a middleman between your traffiic
 
A VPN Service doesn't give you a new IP address, a VPN server acts like a middleman between your traffiic

OK Ndugu nipe njia nzuri ya hide IP na location na Mac address ya Simu Yangu
 
Wana Jf naombeni Msaada wenu VPN kwenye maswala ya internet ina kazi gani? Kwa upande Wangu nilikuwa nataka kujisecurity yani napokuwa nafungua website yeyote kwa kutumia smart phone Yangu wasiweze kunitrack nakujua IP Yangu na Mac address ya Simu Yangu nawaombeni wenye uwelewa mkubwa zaidi Yangu mnisaidie tafadhali.

Labda ungeanza kutuelewesha nani hao unawaogopa wasijue real IP adress yako
Je,unatumia HULU,netflix na baadhi ya site ambazo zimewekewa geo blocking?
Au unatumia njia za ku bypass survey? na unaogopa this offer is not available in your country?

Emu funguka zaidi maana kama hufanyi activity za ajabu wala isikupe shida hiyo ukiona shida ni kubadili IP adress tu basi Zima washa data ISP atakupa IP adress nyingine peruzi internet ukiona too much una disconnect una connect tena hivo hivo tu utakua ukipewa IP adress mpya maana VPN service nyingi za kuaminika lazima utoe $
Navyosikia hiyo IP adress ya awali anapewa mwingine japo sija investigate kuhusu hilo
 
tumia tor, itafanikisha hayo mambo yako. ila ukiwa unatumia app zisizotaka proxy hazitafanya kazi kama vile playstore hadi uidisable.

kwenye android client ya tor inaitwa orbot download toka playstore halafu tumia ni rahisi tu.

6JyeuftFioIbMnU10qVJEkoZ2s0akn0Ol3561Z00wBCqqoGXMNx0WAXOaE9MUrlQMm0=h900
 
tumia tor, itafanikisha hayo mambo yako. ila ukiwa unatumia app zisizotaka proxy hazitafanya kazi kama vile playstore hadi uidisable.

kwenye android client ya tor inaitwa orbot download toka playstore halafu tumia ni rahisi tu.

6JyeuftFioIbMnU10qVJEkoZ2s0akn0Ol3561Z00wBCqqoGXMNx0WAXOaE9MUrlQMm0=h900
Tunajifunza mengi.
 
Vpn ni inafanya kazi kama internet tu, ila vpn inabadilisha ile public network unayopewa na ISP (Internet Service Provider) kwenda Private network. Kwahiyo vpn inakupa IP address mpya ambayo inategemea na server ipi inakupa huduma. ISP itakuwa haijuwi ni kitu gani unafanya na haijui kama unatumia VPN, ila sisi tunaweza kuku trace back.
Kuna huduma nyengine zinaitwa TOR na I2P, hizi ni anonymous network, hizi program ni bure na unaweza ku install katika windows, linux na Android. Unapotumia hizi hudma za TOR na I2P, Isp inajua kama unatumia ila haijui unafanya nini. Kwahiyo ni uzuri kutumia VPN pamoja na moja katika hizi TOR au I2P.

Note: Windows ni operating system ambayo haina garantee na usalama wako hata kama unatumia hizi huduma.

Wana Jf naombeni Msaada wenu VPN kwenye maswala ya internet ina kazi gani? Kwa upande Wangu nilikuwa nataka kujisecurity yani napokuwa nafungua website yeyote kwa kutumia smart phone Yangu wasiweze kunitrack nakujua IP Yangu na Mac address ya Simu Yangu nawaombeni wenye uwelewa mkubwa zaidi Yangu mnisaidie tafadhali.
 
VPN is an abbreviation for Virtual Private network,if you know the types of networks like private network,public network etc.To make it simple VPN is an extension of a private network by using public network (the internet) to transfer secured information between two sites/points.

Issue muhimu hapa ni "tunneling" kunakuwa kama kuna pipe inaunganisha network nodes katika private networks mbili.Kunakuwa na encryption ambayo wahusika tu wanakuwa wanajua ku decrypt data baada ya kuzipokea.So kama kuna mtu atazipata data hawaweza kuzielewa kwani ziko encyripted.

Kwa mfano wafanyakazi wanaofanyia kazi site au nje ya ofisi unaweza waunganisha na network ya ofisini wakaweza ku access resources zilizopo ofisini kwa kutumia VPN.
 
Kama kichwa klivyoeleza napenda kufaham nini maana, kazi na jinsi ya kutumia VPN katika smartphone (Android devices)... mana kila nikifikilia kazi yake sielewi na kma kuna mtu ana ujuzi mkubwa zaid naomba aniambie na jinsi ya kutumia either kuconnect nk.

Kwa kifupi nataka kujua kutumia lakini sijui kutumia.

Ni hayo.

Asanteni.
 
Namna ya kutumia vpn virtual private network kwenye android 4

HATUA YA KWANZA

- Download vpn uipendayo

- Nashauri tumia TROIDVPN ambayo utadownload hapa: www.troidvpn.com

- Waweza kuitumia kama free user hapo huitaji kufanya registration au waweza ,kulipia na kutumia kama Premium user ambapo user ID na password utapata hapa: www.tunnelguru.com

-Pia waweza kutumia DROIDVPN ambayo utapewa 100mb kama free user na unlimited iwapo utailipia.

- Ingia hapa www.droidvpn.com ili kudownload na kufanya registration.

PILI
- waweza kutafuta free vpn yeyote katika google play

Nyingi ya VPN hazina tech. settings ni kuistall, weka user id na kuanza kuitumia.
 
Asante sana mkuu kwa Maelezo mazuri ila naomba unisaidie katika kujaza hapo natumia network zote.. yeyote unaweza ukanipa maelezo yake hasa V na Z au T...jinsi ya kujaza masuala ya lpot na rpot ... ....kama itakua vigumu unaweza ukani pm.
 
mwenye Elimu yoyoye kuhusu hii Vpn... naomba msaada..??

Ref to:...

VPN is an abbreviation for Virtual Private network,if you know the types of networks like private network,public network etc.To make it simple VPN is an extension of a private network by using public network (the internet) to transfer secured information between two sites/points.

Issue muhimu hapa ni "tunneling" kunakuwa kama kuna pipe inaunganisha network nodes katika private networks mbili.Kunakuwa na encryption ambayo wahusika tu wanakuwa wanajua ku decrypt data baada ya kuzipokea.So kama kuna mtu atazipata data hawaweza kuzielewa kwani ziko encyripted.

Kwa mfano wafanyakazi wanaofanyia kazi site au nje ya ofisi unaweza waunganisha na network ya ofisini wakaweza ku access resources zilizopo ofisini kwa kutumia VPN.
 
Back
Top Bottom