silasc
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 3,348
- 1,982
Mbona anawalea hao jamaa! Anatakiwa awe aggresive huyo anayemzingua amchane live hatoi chochote, then aende kwa bosi wake.TAKUKURU si hadi awe na ushahidi, kama hana atasumbuliwa napo...
Hofu ni kitu kibaya sana maishani as long as ni haki yako.