Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,450
Ushauri wako je?Siku hizi JF ukitaka upate msaada labda uulize jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni......au jinsi ya kusugua papuchi kwa muda mrefu.....lakini si katika mambo ya msingi kama haya.......
Maana yake ni kwamba wajinga na wapumbavu wameongezeka....hivyo watu wenye busara wameona si vyema kujiweka karibu na wajinga na kujiweka pembeni.....
Zamani JF ilikuwa kisima cha maarifa sasa hivi nj kisima cha ujinga.....
Taarifa hizi ziwafikie mods....jf irudi katika misingi yake
Malalamiko ya mtoa mada yanaweza kumkuta mtu yeyote yule...hivyo mchango wa uzi huu ungeleta manufaa makubwa sana.,,,