MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,298
Habari wana jf,
Natumai mko salama.
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kaka yangu anasumbuliwa sana kulipwa haki yake na hawa watu wa nssf, baadhi ya maofisa wanamlazimisha atoe rushwa ilicheki yake iweze kusainiwa, kitu ambacho amegoma.
Hivyo, kwa makusudi kabisa wanamsumbua na kumuhangaisha kwa muda mrefu sana.
Najua humu kuna watu wa aina mbali mbali na ninaamini mnaweza kumsaidia kaka yangu kupata 'haki yake'.
Tafadhali, nawasihi naombeni ambao mnayo nafasi kwenye eneo husika mumsaidie kaka yangu.
Natanguliza shukrani
Natumai mko salama.
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kaka yangu anasumbuliwa sana kulipwa haki yake na hawa watu wa nssf, baadhi ya maofisa wanamlazimisha atoe rushwa ilicheki yake iweze kusainiwa, kitu ambacho amegoma.
Hivyo, kwa makusudi kabisa wanamsumbua na kumuhangaisha kwa muda mrefu sana.
Najua humu kuna watu wa aina mbali mbali na ninaamini mnaweza kumsaidia kaka yangu kupata 'haki yake'.
Tafadhali, nawasihi naombeni ambao mnayo nafasi kwenye eneo husika mumsaidie kaka yangu.
Natanguliza shukrani