KABAKA28
Senior Member
- Jun 18, 2014
- 197
- 188
Habari wana Jf, mimi ni member since 2016 nimekua nikichangia mada mbali mbali na nimekua nikisoma pia nyuzi za watu.
Leo naomba kuleta kwenu swala la mafao ya NSSF kwa vijana wanao amua kuacha kazi ya kuajiriwa na kutaka kuishi maisha mengine wanawezaje kupata mafao yao? Ngoja niende kwenye point.
Mimi nimefanya kazi kwenye shirika linalo jihusisha na miradi ya utafiti hapa Dsm kwa muda wa miaka 4, miradi imeisha na shirika limefungwa,
Kwa muda nimekua nikijipanga kustaafu baada tu ya shirika hili kufungwa, nina biashara yangu ndogo ninafanya,
Nilitamani nipate hela yangu ya NSSF ili niweze kuongeza mtaji maisha yaende, sasa mara kadhaa nimekua nikienda ofisini kwao naishia kupata statement tu.
Waliniagiza nikachukue certificate of service na barua inayo onesha kua sina mkataba na shirika hilo, nimefatilia sana kupata hiyo barua ila imeshindikana ( nimekua nikipewa majibu ya kesho kesho kesho....)
Jamani ukinyimwa barua ya namna hiyo na mwajiri wako unapaswa uende wapi kushtaki?
Na je haiwezekani kupata haki yangu mpaka niwe na hiyo barua?
Kwa yeyote ambae anaweza kunisaidia, kama ni wakili au mtu mwenye uzoefu, nitatoa details zote na nitampa compassation pindi nikifanikiwa kuipata hela yangu.
Asante
Leo naomba kuleta kwenu swala la mafao ya NSSF kwa vijana wanao amua kuacha kazi ya kuajiriwa na kutaka kuishi maisha mengine wanawezaje kupata mafao yao? Ngoja niende kwenye point.
Mimi nimefanya kazi kwenye shirika linalo jihusisha na miradi ya utafiti hapa Dsm kwa muda wa miaka 4, miradi imeisha na shirika limefungwa,
Kwa muda nimekua nikijipanga kustaafu baada tu ya shirika hili kufungwa, nina biashara yangu ndogo ninafanya,
Nilitamani nipate hela yangu ya NSSF ili niweze kuongeza mtaji maisha yaende, sasa mara kadhaa nimekua nikienda ofisini kwao naishia kupata statement tu.
Waliniagiza nikachukue certificate of service na barua inayo onesha kua sina mkataba na shirika hilo, nimefatilia sana kupata hiyo barua ila imeshindikana ( nimekua nikipewa majibu ya kesho kesho kesho....)
Jamani ukinyimwa barua ya namna hiyo na mwajiri wako unapaswa uende wapi kushtaki?
Na je haiwezekani kupata haki yangu mpaka niwe na hiyo barua?
Kwa yeyote ambae anaweza kunisaidia, kama ni wakili au mtu mwenye uzoefu, nitatoa details zote na nitampa compassation pindi nikifanikiwa kuipata hela yangu.
Asante