flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Nenda polisi mkuu simu yako utaipata amini ivooo... Polis wanaweza kuwa na madhaifu yao lakini sio kwa upande huoooo
Sasa wewe umeibiwa/umepoteza simu naaliyekuibia au ulipopotezea kalifanya kama likopokopo tu unadhani utaipata? Simu ili uipate ni lazima aliyeiokota/aliyekuibia aweke chip yake ndio utampata ila kama kageuza likopo uwezi kuipataa
Sasa wewe umeibiwa/umepoteza simu naaliyekuibia au ulipopotezea kalifanya kama likopokopo tu unadhani utaipata? Simu ili uipate ni lazima aliyeiokota/aliyekuibia aweke chip yake ndio utampata ila kama kageuza likopo uwezi kuipataa