COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Mkuu unaweza kuwa na IMEI namba lakini na simu usiipate utazungushwa miaka jaribu Bahati yako.... watanzania tunapuuza sana vitu vya msingi kama ku-set passwords na kutunza IMEI tukiibiwa ndio fahamu zinatujia kuhusu umuhimu wa hivyo vitu! Utakuta kifaa cha gharama lakini wala mtu hajisumbui kuweka basic security settings za kifaa chake; laptops, simu, etc.