JituParaTupu
Member
- Nov 20, 2008
- 92
- 9
Ninamiliki gari ambayo nilikatia bima ya Comprehensive ya kuwa compensated 9m/- na nimekuwa nikikata bima hii kwa takriban miaka 6. Gari yangu ilipata ajali na kesi kufanyika na makosa kuonekana kwa yule aliyenigonga.
Nimeshangazwa kwa kulipwa chini ya milioni moja kinyume na matarajio yangu ya kulipwa 9m au 8m. Naomba kuelimishwa jinsi ya kudai haki yangu. Nawakilisha nikitegemea kusaidiwa gaps jamvini.
Nimeshangazwa kwa kulipwa chini ya milioni moja kinyume na matarajio yangu ya kulipwa 9m au 8m. Naomba kuelimishwa jinsi ya kudai haki yangu. Nawakilisha nikitegemea kusaidiwa gaps jamvini.