Wakuu niliibiwa na gari mwaka jana mwez wa kumi na mbili, gari ilikua na bima kubwa. Niliwasilisha taarifa yqngu bima, na uchunguzi wa polisi umekamilika lakini hakuna kilichobainika mpaka sasa.
Bima wana taka kulipa ila kusema kweli sikubaliani na namna bima inavyotaka kunilipa kwani, gari yangu ndo ilikua na siku mbili tu nchini, naomba kujuzwa ni deduction zipi zinatolewa, na kama kuna muuongozo wowote unaonesha namna ya ulipaji nitashukuru sana.
Hii bima niliyokata wanasema dhamani ya gari watalipa kulingana na CIF ya TRA, then wanajumlisha na kodi ya TRA. Wakati gharama ya kununua na CIF vinatofautian zaidi ya $1500.
Naombeni msaada kabla sijachukua maamuzi mengine.
Bima wana taka kulipa ila kusema kweli sikubaliani na namna bima inavyotaka kunilipa kwani, gari yangu ndo ilikua na siku mbili tu nchini, naomba kujuzwa ni deduction zipi zinatolewa, na kama kuna muuongozo wowote unaonesha namna ya ulipaji nitashukuru sana.
Hii bima niliyokata wanasema dhamani ya gari watalipa kulingana na CIF ya TRA, then wanajumlisha na kodi ya TRA. Wakati gharama ya kununua na CIF vinatofautian zaidi ya $1500.
Naombeni msaada kabla sijachukua maamuzi mengine.