JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
Kwa tanzania ni bora ukate thid part ujue moja kwa incase of damage unagharamia mwenyewe kuliko unalipa karibu milioni moja kila mwaka halafu ukipata ajali mizengwe inaanzaiHivi kuna umuhimu kweli wa kufanya bima ya magari binafsi kuwa ya lazima? Naona ingefanywa hiari kwa anayetaka..ni wazo tu wadau