Acha Maisha Yaendelee,Aibuu buku 3?
Huko ukweni wasikupe hata maji ya kunywa aisee
Sema huwa naona hizi pete ni trend tu na aliyesema tufanye hivyo alituokota sana... Wengine tulioa, kwa taratibu sahihi, na pete hatukuvaa.. na tuko kwenye ndoa kila mtu ana amani... Na hatuoni aibu kusema tunawenzi pale watu wanapotuma maombi...Akikutupia usoni shauri yako! Kwani hukuona nzuri zingine? Why buku tatu is it cost cutting ama ni pesa haipo mkuu? Mahari ushapeleka ? Hushindwi kupeleka mbuzi 2 tu weweacha ubahili
Mimi kama mtaalam kwa kicho kimkono chako, unamiliki kibamia,nafikir unalijua hilo


Katika zunguka zunguka zangu leo nmepata ringnzuri kwa bei poa kabisa ya Tshs 3,000/= ni gold kwa ajili ya engagement jamaa amesema kama itakua mbaya nirudshe anibadilishie. Wakuu nyie mnaonaje shape ake ilivokaa ipoje?View attachment 1689902
Mkuu samahani nataka kujua huu mkono ni wako?!
Mi nikiona mtu anamkono laini kama huo, huwa nawaza mbali sanaMkuu samahani nataka kujua huu mkono ni wako?!
Wengine maumbile tu na wengine mazingira wewe unasoma tuu mkono unakakamaa lini... japo Kwa jamii za wafugaji ni kawaida.. Wamasai, watusi... Jembe hawashikiMimi nikiona mtu ana mkono laini kama huo huwa nawaza mbali sana
Yaani mwamba hilo jina lako "joshy" nikiliona inanijia image ya Joash OnyangoCreditAnalyst ni maana ya Credit analysis?
Call for backupMan down
I repeat man down

Doooh...long storyCreditAnalyst ni maana ya Credit analysis?