Msaada juu ya hii pete

Msaada juu ya hii pete

Katika zunguka zunguka zangu leo nmepata ring nzuri kwa bei poa kabisa ya Tshs 3,000/= ni gold kwa ajili ya engagement jamaa amesema kama itakua mbaya nirudshe anibadilishie. Wakuu nyie mnaonaje shape ake ilivokaa ipoje?View attachment 1689902
Umesema ni GOLD na Umenunua kwa ELFU3? Au mimi sijaelewa vizuri?
 
Akikutupia usoni shauri yako! Kwani hukuona nzuri zingine? Why buku tatu is it cost cutting ama ni pesa haipo mkuu? Mahari ushapeleka ? Hushindwi kupeleka mbuzi 2 tu wewe acha ubahili
Mbona mtu akipeleka mbuzi mwanaume watu wanavuta na wanaofree tu na wanazo pesa .Huyu ni kidume anayefata utaratibu ingawa hana pesa nyingi au bahiri.Watu wamoumu na hawajawai valisha wake zao Pete ata za buku.
 
Back
Top Bottom