mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,398
- 3,251
Binafsi naamini dereva hajakamilika kama hawezi kuendesha gari za Manual transmission. Mkuu big up kwa kuamua kujifunza gari za manual
asante sana mkuu! manual ndio heshima ya dereva popote pale! ntahitaji ujuzi wako katika hili!Binafsi naamini dereva hajakamilika kama hawezi kuendesha gari za Manual transmission. Mkuu big up kwa kuamua kujifunza gari za manual
Ukitaka kumaster manual ni vizuri kumiliki hiyo gari na kuitumia kwa shughuli zako za kila mara. Kuhusu kujifunza nadhani kuna wadau hapo juu wameeleza kila kitu na sidhani kama kuna maelezo zaidi ya hayoasante sana mkuu! manual ndio heshima ya dereva popote pale! ntahitaji ujuzi wako katika hili!
Wiper?Jiamin, ni simpo sana. Ila kama ukipata emergency yyte ng'ang'ania breki na usukani na wiper ndio mkombozi wako. Kila la kheri
Hebu tusaidie umuhimu wake wakati wa dhalula pending mtu anajifunza Gari ya manualZiliwekwa za nn mkuu, kila kitu ni kwenye gari ni muhimu katoka kuzuia ajali...hata rangi ya gari tu!
Na ukitaka kujua kuwa madereva tuko wachache nchi hii we leta Gari ya manual transmissionBinafsi naamini dereva hajakamilika kama hawezi kuendesha gari za Manual transmission. Mkuu big up kwa kuamua kujifunza gari za manual
Unasimama kwa kutumia clutch na moto? Unaelewa madhara ya hiki kitendo na kutembelea clutch?Kama unaweza kuendesha Automatic basi kwenye manual nenda kwenye miinuko sehemu ambapo ukiachia brake gari inarudi nyuma.Hapo jifunze kubalance brake,MOTO na clutch.
Usilazimishe kukalili jinsi ya kuondoka,KIKUBWA ISIKILIZE GARI INATAKA GEAR NO NGAPI.
Utazoea tu muda sio mrefu hata mlimani unasimama kwa kutumia clutch na moto bila brake.
Madhara gani?Unasimama kwa kutumia clutch na moto? Unaelewa madhara ya hiki kitendo na kutembelea clutch?
Ya kuiteketeza clutch kama huna akili nzuri.Madhara gani?
AtabishaYa kuiteketeza clutch kama huna akili nzuri.
Akibisha atakuwa haelewi uhusiano kati ya engine, transmission, clutch na drivetrain. Hili ni jambo la msingi sana ili kuweza kumaster manual transmission.Atabisha
Nabisha kwa fact nilizonazo sio kubisha tu,Nimeendesha gari toka mwaka 2004 mpk leo bado ninaendesha.Sijawahi kuchoma clutch hata mara moja.Na mara zote nasimama kwa clutch na moto.Nilishatembea na gari imekufa gear no 1,2 zinazokubali ni 3,4,5,R nilitoka TARIME mpk Mwanza.SEMENI TUWAPE MAUJUZI ACHENI KUPINGA KILA KITU.Akibisha atakuwa haelewi uhusiano kati ya engine, transmission, clutch na drivetrain. Hili ni jambo la msingi sana ili kuweza kumaster manual transmission.
Tarime mpaka mwanza hakuna miinuko inayokulazimu kutemebea na namba 1 au 2 pia hauna foleni vinginevyo usingefika. hivyo huo sio utaalamu ni barabara ilikupa favor.Nabisha kwa fact nilizonazo sio kubisha tu,Nimeendesha gari toka mwaka 2004 mpk leo bado ninaendesha.Sijawahi kuchoma clutch hata mara moja.Na mara zote nasimama kwa clutch na moto.Nilishatembea na gari imekufa gear no 1,2 zinazokubali ni 3,4,5,R nilitoka TARIME mpk Mwanza.SEMENI TUWAPE MAUJUZI ACHENI KUPINGA KILA KITU.
Eti tarime hakuna milima naona wewe ni wa dsm sio Kanda ya ziwa.Mtafute dereva anayeijua barabara ya tarime to mza.Tarime mpaka mwanza hakuna miinuko inayokulazimu kutemebea na namba 1 au 2 pia hauna foleni vinginevyo usingefika. hivyo huo sio utaalamu ni barabara ilikupa favor.
Acha uongo wewe. vipo vimilima abmavyo vinakuwezesha kupanda na namba 3. pia barabara ni lami.Eti tarime hakuna milima naona wewe ni wa dsm sio Kanda ya ziwa.Mtafute dereva anayeijua barabara ya tarime to mza.
Kwa maelezo yako unaonekana kabisa driving yako umepatia kwenye vyuo........NJOO UPATE DRIVING SKILLS YA KITAA,HUKO MNAKALILISHA MAJINA YA SPEAR TU ILA UJUZI HAKUNA.KILA KITU MMEKALILI.Akibisha atakuwa haelewi uhusiano kati ya engine, transmission, clutch na drivetrain. Hili ni jambo la msingi sana ili kuweza kumaster manual transmission.
ACHANA NA UBISHI WA BARABARANI LETE SKILLS ZA KUENDESHA GARI MANUAL.TATIZO V..A INAWAKALIKISHA,HAMJUI LOLOTE.SAFARI NDEFU ULIYOWAHI KUTEMBEA NI KM 200 EXPERIENCE UTAIPATA WAPI?Acha uongo wewe. vipo vimilima abmavyo vinakuwezesha kupanda na namba 3. pia barabara ni lami.
FYI
mimi sio wa Dar.
Ugumu upo hasa katika kubalance clutch na mafuta ili uanze kuondoka.manual haina ugumu wowote zaidi ya watu kuukuza... kuendesha gari ni mojawapo ya kazi rahisi sana duniani ndio maaana hata daktari au director, ceo anajiendesha na akifika hospitali au ofisini kwake anaanza fanya majukumu yake ya u ceo au udaktari