Msaada: Jinsi ya Kumaster Manual Car!

Ama kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Hizo KM ulizitaja ndio umbali ninaokwenda kunywa bia kila weekend achilia mbali KM 100 za kila siku mara 3 au 4 kwa wiki.

Experience niliyonayo ni ya kimataifa sio ya Mwanza Tarime. na huwa napenda kujiwekea record na kuzivunja mwenyewe.

Kwa taarifa yako, mimi sio dereva wa kuendesha magari ya watu kama wewe. naendsha gari yangu binafsi hivyo lazima nifuate ushauri wa wataalaamu ukuizingatia kwamba spea zake ni ghari sana kwahiyo nikiambiwa haitakiwi kusimama kwenye mpando kwa kutumila clutch na accelerator lazima nizingatie.
Bwana mdogo ukianza sifa za kumiliki vitu na kujitapa huo ni udada tena ni udem.Sina haja ya kukwambia mali na vitu ninavyomiliki kwa sababu havikuhusu na JF sio mahala pake.
LETE SKILLS ZA KUENDESHA GARI MANUAL MASWALA YA MALI NA MAGARI YAKO MPELEKEE MKEO.
 
Mkuu hakikisha una akili timamu na unafanya maamuzi sahihi, kwa wakati sahihi, maana wakati wa shida hutakua na muda wa kutuuliza hapa JF
 
Mkuu vipi automatic unaweza kuiendesha?unajifunzia chuo au mtaani? Kama ni chuo ukienda uko utapata maelekezo na mafunzo yote. Ila kama ni mtaani Tafuta dereva mzuri akufundishe na sehemu nzuri ya kujifunzia anzia kwenye kiwanja kikubwa kidogo kilicho wazi nikimaanisha kisiwe na miti mingi n.k. anza kwa kuzunguka uwanja huo mara nyingi kadri uwezavyo ukitembelea gia namba moja na mbili.
Ukizoea kuingiza gia bila kuangalia hapo unaweza kwenda hadi namba tatu ila muhimu tafuta dereva mzoefu wa manual akufundishe namna ya kubalance clutch na accelerator hasa wakati wa kuondoa gari kwenye mlima pia atakua anakusaidia kutambua makosa na kukurekebisha.
Ukishaiva uwanjani ingia barabara za mitaani zenye magari machache uanze kupata uzoefu ukijua manual ni raha sana.
Mimi siku ya kwanza kujifunza manual tuliingia road moja kwa moja..
 
Hii ndio ilinishinda, nakumbuka tulikuwa na gari ya tatu manual kwa ajili ya maza toyota sprinter mayai ilinunuliwa mwaka 2002 home. Katika kuiosha nikawa najifunza kuendesha kibishi aisee ilikuwa inazima zima na kustuka balaa . Hadi nikakata tamaa!

Ila juzi kati nikakamata nissan cube, tupiamo D mafuta kidogo naona kitu kinateleza tu nikiona jam nabonyeza brake nasimama. Sasa nimehamia kwenye isis hata Mwanza nafika bila shida. Ni mwendo wa D,P,N,R
Mkuu ukiendesha gari ya manual kama week 2 hivi au 3 mfululizo lazima utaimudu tu.
 
Back
Top Bottom