Aman peaceful
Member
- Mar 2, 2018
- 89
- 63
- Thread starter
- #41
Asante sana mkuu kwa kunionesha mwanga hasa hapo kwenye gia!Nilijifunzia manual kipindi hicho automatic Ni za kuhesabika.
Manual ni more fun than automatic transmission.
Wakati wakujifunza manual utaunguza clutch, hili Ni kawaida kwa waliowengi hivyo jiandae kwa Hilo. Kikubwa uwe unaachia clutch taraaaaatibu esp ukiwa unaingiza gear moja na mbili huku unapress accelerator taraaaaatibu, zinaenda kwa kupishana.