Vipi bei ya Arusha mkuu hasa memorycards 128mbMkuu unapigwa hizi hapa bei ya Dodoma
Itel 2160 _16500
Tecno
301 _21500
313 _25500
474_35000
351_26500
528_42000
Sasa mkuu kama dodoma ndo bei hiyo jumla kwa dar naamini itakuwa chini kidogo ila ijumaa naenda dar toka dom nampango wa kwenda kununua simu na tv za jumla ndakupa mrejesho
Katoro pale kwa Omary utaipata kwa 20000Bei za KATORO (GEITA)
2160,_
Unataka ubembelezwe hapa ..ndo ulegee sio ,Mbona kama command mzee.
Mkuu Dodoma memory card iko hiviVipi bei ya Arusha mkuu hasa memorycards 128mb
Mkubwa hiyo ya 1500 inaweza kuweka nyimbo 50Mkuu dodoma memory card iko hivi
GB
2= 4500
4 =5000
8=6500
16=8500
32=12000
Kumbuka hiyo bei ni memory card original
Feki
2 =1500
4=2500
8=3000 hadi 3500
16=5000
Hao wote hapo ni wababaishajiIla wabongo bwana..mpeni connection ya viwandani..mpo busy kumpa Bei za mikoa yenu
Mkuu dodoma memory card iko hivi
GB
2= 4500
4 =5000
8=6500
16=8500
32=12000
Kumbuka hiyo bei ni memory card original
Feki
2 =1500
4=2500
8=3000 hadi 3500
16=5000
Naruhusiwa kukuvamia PM?Boss wa simu k'koo ni Erasto, ukipata mtu anaeaminika akakupeleka kwake, unapewa mzigo hata wa mali kauli. Jamaa ni agent. Maduka mengi ya jumla k'koo wanachukua simu kwake,
Nataka kwa karton mkuu.. niambie bei yakee tuongeeKama unachukua kwa carton nikupe contact.
Hakuna mambo ya Pc.
Mkuu type mrejeshoMkuu unapigwa hizi hapa bei ya Dodoma
Itel 2160 _16500
Tecno
301 _21500
313 _25500
474_35000
351_26500
528_42000
Sasa mkuu kama dodoma ndo bei hiyo jumla kwa dar naamini itakuwa chini kidogo ila ijumaa naenda dar toka dom nampango wa kwenda kununua simu na tv za jumla ndakupa mrejesho
NimeshakutumiaNataka kwa karton mkuu.. niambie Bei yakee tuongee
Ukisema boss wa simu sidhani kama ni sahihiBoss wa simu k'koo ni Erasto, ukipata mtu anaeaminika akakupeleka kwake, unapewa mzigo hata wa mali kauli. Jamaa ni agent. Maduka mengi ya jumla k'koo wanachukua simu kwake,
Arasto pia anapelekewa mzigo na muhindi anaitwa mzee ibrahim na wachinaBoss wa simu k'koo ni Erasto, ukipata mtu anaeaminika akakupeleka kwake, unapewa mzigo hata wa mali kauli. Jamaa ni agent. Maduka mengi ya jumla k'koo wanachukua simu kwake,
Hii inaitwa connection juu ya connection mtoa mada ingia alibaba search hizo simu utapata tuuh main source pia usisahau kuhakiki hicho kiwanda kupitia balobalozi China zilizopo hpa nchin.Arasto pia anapelekewa mzigo na muhindi anaitwa mzee ibrahim na wachina
Bora uagize China Tu, kama mtaji mdogo unaunganisha na watu baadhi sema inabd utilize kichwa kidog , badae unapiga super profit , faida ya 2000 kwenye simu ni miyeyushoHii inaitwa connection juu ya connection mtoa mada ingia alibaba search hizo simu utapata tuuh main source pia usisahau kuhakiki hicho kiwanda kupitia balobalozi China zilizopo hpa nchin.
Kwa uzoefu wangu simu nying za button hasa techno na itel kiwanda order huanzia PC 3000 n bei yake huwa 7500_9000 kwa moja kma utachukua PC 3000
Ingia alibaba vipo viwanda.
Tatizo la Lindi nod maduka machache Ndo maana wanatupiga sanaWauzaji wa Lindi Mungu anawaona
πππ