Msaada: je nikwa njia ipi hizi application huingiza kipato?

Msaada: je nikwa njia ipi hizi application huingiza kipato?

Vamigo

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
455
Reaction score
989
Habari wana iti mm nilikua naomba kufahamishwa kuhusu.

1: namna application za kuangalia mech live mfano ya baraka tv, inaingizaje pesa kwa mimiliki.

2: namna application za kuuza na kununua vitu used zinavyo waingizia pesa wamiliki.

3: wewe Kama mwana IT unaweza mshauru kitu gani mteja wako katika uchaguzi wa application nzuri endapo Kama anataka kuwekeza huko.?

Asanteni.
 
1)App inaingiza pesa kwa njia ya matangazoya Google au Biashara

2)Njia kukata parcent ikiwa ya kutoa huduma ya ununuzi

3)Njia ya kutoza pesa kwa iser ikiwa inatoa huduma fulani mfano App za Ajira

4)Njia ya Grant mfano App za Edutech


Usahuri: ukitaka anzisha App angalia
1) Business Model
2) Solution yake
3) Marketing Strategy
4) Monetaization

Kwa design ya App yako nakufanyia kwa 30,000 tu.
 
1)App inaingiza pesa kwa njia ya matangazoya Google au Biashara

2)Njia kukata parcent ikiwa ya kutoa huduma ya ununuzi

3)Njia ya kutoza pesa kwa iser ikiwa inatoa huduma fulani mfano App za Ajira

4)Njia ya Grant mfano App za Edutech


Usahuri: ukitaka anzisha App angalia
1) Business Model
2) Solution yake
3) Marketing Strategy
4) Monetaization

Kwa design ya App yako nakufanyia kwa 30,000 tu.
Mkuu Asante sana kwa ufafanuzi ni pm namba yako mkuu.
 
Habari wana iti mm nilikua naomba kufahamishwa kuhusu.

1: namna application za kuangalia mech live mfano ya baraka tv, inaingizaje pesa kwa mimiliki.

2: namna application za kuuza na kununua vitu used zinavyo waingizia pesa wamiliki.

3: wewe Kama mwana IT unaweza mshauru kitu gani mteja wako katika uchaguzi wa application nzuri endapo Kama anataka kuwekeza huko.?

Asanteni.
Hongera kwa wazo mkuu ila utakapohitaji huduma za Logos kwaajili ya app yako, kutengeneza online posters za app na kutupia kwny social medias na kazi zozote za graphics nipo hapa mkuu, usisite kunipa shavu+255 688 476770
 
Mimi nina uzoefu na hii baishara, kwa Tanzania App kukupa kipato si kazi ndigo, jipange kifedha kutangaza App yako ila hii siwez kumshauri mtu afanye maybe kama unafanya kama kitu cha siada au ni passion.

Ila ukitaka App za kukupa kipato, kwa uzoefu wangu mimi ni moja tu kwa level ya Tanzania.

App ya online dating. hii inaweza kukutoa ila inahitaji uwekezaji.

Web+ Apps inanza M5 na kuendelea hapo sasa ni kulingana na mahitaji yako.
 
Back
Top Bottom