Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Ok, pole mkuu na huyo mwenzetu alale pema peponi, JK juzi kasema ujambazi umeisha.....yule jamaaa bwana yaani sijui hua haoni@!!! kwa hiyo huo sio ujambazi ni kampeni za CCM hizo na hio milio ya risasi ni fataki CCM wanashangilai ushindi????