Msaada jamani, Nashindwa kumuambia


mim naenda kuanza form 5 mwez wa 7 na nina malengo mengi tu juu yake ikiwezekana hata kumuoa
 
mim naenda kuanza form 5 mwez wa 7 na nina malengo mengi tu juu yake ikiwezekana hata kumuoa

Aisee, kumbe bado ungali mwanafunzi na tena hujamaliza hata kidato cha sita...

Ushauri wangu kwako ni kuwa tulia usome kwanza,akili na maarifa yako yote yaelekeze kwenye masomo kwa sasa.

Ukiparamia mapenzi kwa sasa ni rahisi kupoteza uelekeo wa malengo yako kielimu na ukajuta hapo baadaye.

Muhimu kwa sasa ni kumfanya tu huyo binti awe rafiki wa kawaida, usigusie kabisa suala la kumuoa maana kwa umri uliona ataona wamdanganya tu.
 

mdau ua wasting ua tym with form IV leaver,,,umri alokutajia ni jibu tosha huyu bado mdogo,ila shahawa za baleghe zinamnyevuanyua
 

mdau si nimekwambia?????
 
Bila angalizo la umri hapa,tutapigana vikumbo na wanetu.

Hivi hakuna jinsi yoyote hizi thread zikakwa censored? Moderators hawawezi kusaidia katika hili?! Maana hata ukienda kuogelea bwawani, kuna bwawa la wakubwa na watoto. Halafu lile la watoto linakuwa na waangalizi kuepusha mikasa kama ile iliyotokea Mbezi last week.
 

xaxa nifanyeje na mim nampenda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…