Msaada jamani jinsi ya kujiunga na freemason

Msaada jamani jinsi ya kujiunga na freemason

Jina langu naitwa Mr Michael Mabiranga Natokea wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro,kabila langu ni Mpare wa Chome. Nasema Chome kwasababu ndipo chimbuko la kizazi cha mababu zetu.lakini nimekulia Hedaru ambapo nilikuwa nikiishi na bibi yangu mzaa baba, mzee Mabiranga.Mimi ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar es salaam, Ingawa nyuma ya pazia ni mtumishi wa imani ya Freemason Ingawa sio kazi rahisi kujulikana, ukitazama uso wangu na kunijadili usingefikiria iwapo ningeweza kujiunga na Freemason. Ninaonekana mtu mwenye upendo,mnyenyekevu,mtiifu,na anayejali watu bila ubaguzi lakini katili sana. Sitaki kuwafundisha watu wafanye hivyo kwasababu najua itawagharimu maishani mwao, Nikweli chama iki uwainua watu wengi uwatoa katika umasikini na kuwajaza mapesa uibuka gafra na kuwa matajiri ni chama kizuri kama Una nia ya kweli kudumu milele na kufata matakwa yote utakayopewa na wakuu. Kwa aliye na nia ya dhati nitamsaidia kwa Mwanaume awe na umri kuanzia miaka 21 kupanda juu kwa mawasiliano piga 0716 490606..$!!
 
Jina langu naitwa Mr Michael Mabiranga Natokea wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro,kabila langu ni Mpare wa Chome. Nasema Chome kwasababu ndipo chimbuko la kizazi cha mababu zetu.lakini nimekulia Hedaru ambapo nilikuwa nikiishi na bibi yangu mzaa baba, mzee Mabiranga.Mimi ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar es salaam, Ingawa nyuma ya pazia ni mtumishi wa imani ya Freemason Ingawa sio kazi rahisi kujulikana, ukitazama uso wangu na kunijadili usingefikiria iwapo ningeweza kujiunga na Freemason. Ninaonekana mtu mwenye upendo,mnyenyekevu,mtiifu,na anayejali watu bila ubaguzi lakini katili sana. Sitaki kuwafundisha watu wafanye hivyo kwasababu najua itawagharimu maishani mwao, Nikweli chama iki uwainua watu wengi uwatoa katika umasikini na kuwajaza mapesa uibuka gafra na kuwa matajiri ni chama kizuri kama Una nia ya kweli kudumu milele na kufata matakwa yote utakayopewa na wakuu. Kwa aliye na nia ya dhati nitamsaidia kwa Mwanaume awe na umri kuanzia miaka 21 kupanda juu kwa mawasiliano piga 0716 490606..$!!

Bullshit! Hakuna cha freemanson wala nini.sema we ni kigagula flani hivi.acha utapeli,imiza watu kufanya kazi kwa juhudi na maarifa badala ya kuwaletea hizo story za freemanson.Kuwa muwazi zaidi kwamba we unajihusisha na biashara ya sembe hapo tutakuelewa.
 
Achana na ndoto za Abunwasi fanya kazi.
 
Sehemu pekee ambayo FEDHA inatangulia kabla ya KAZI ni kwenye dictionary tuuuuuu!
Hakuna hela ya rahisi ivyo kama wanavyodhani wauza unga wenyewe wanatrade kwa shida.
Acha ukibonde.
 
kwa kuwa umeonesha nia watakutafuta wao wenyewe!
 
kwa kuanzia nenda facebook 2B1 Ask1 na pindi ukisita utazika walio karibu nawe 3....nahuu ni mwanzo tu....karibu
 
[h=2][/h]
kwa kuanzia nenda facebook 2B1 Ask1 na pindi ukisita utazika walio karibu nawe 3....nahuu ni mwanzo tu....karibu
 
Jina langu naitwa Mr Michael Mabiranga Natokea wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro,kabila langu ni Mpare wa Chome. Nasema Chome kwasababu ndipo chimbuko la kizazi cha mababu zetu.lakini nimekulia Hedaru ambapo nilikuwa nikiishi na bibi yangu mzaa baba, mzee Mabiranga.Mimi ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar es salaam, Ingawa nyuma ya pazia ni mtumishi wa imani ya Freemason Ingawa sio kazi rahisi kujulikana, ukitazama uso wangu na kunijadili usingefikiria iwapo ningeweza kujiunga na Freemason. Ninaonekana mtu mwenye upendo,mnyenyekevu,mtiifu,na anayejali watu bila ubaguzi lakini katili sana. Sitaki kuwafundisha watu wafanye hivyo kwasababu najua itawagharimu maishani mwao, Nikweli chama iki uwainua watu wengi uwatoa katika umasikini na kuwajaza mapesa uibuka gafra na kuwa matajiri ni chama kizuri kama Una nia ya kweli kudumu milele na kufata matakwa yote utakayopewa na wakuu. Kwa aliye na nia ya dhati nitamsaidia kwa Mwanaume awe na umri kuanzia miaka 21 kupanda juu kwa mawasiliano piga 0716 490606..$!!

Jina lako sio geni kwenye utapeli huu wa Freemason, umehamia sasa na humu ili uwatapeli vizuri. Unaanzisha thread unacoment mwenyewe ili uwaaminishe? Serukamba you!
 
JIUNGE NASI FREEMASONRY
Kwa jina naitwa MR Abdallah M Abdallah ni mkazi wa jiji la Dar es saalam Pia ni Billionea wa pili na nimfanya Biashara wa madini ya Tanzanit kuyatoa Tanzania na kuyapeleka africa kusini kwa ajiri ya biashara.Utajiri nilio nao unatokana na freemasons jinsi walivyonipachika mapesa na kunifanya ni fike hapa kwanza naipenda sana jumuhiya yangu tena sana. Siku ya leo nimeona niwatoe Bahadhi ya watanzania katika dibwi la Umasikini na dhani nitaacha istoria kwa watu nitakao wapa njia za kujiunga na jumuhia hii na kuhakikisha mpaka wamefanyikiwa ndio itakuwa furaha yangu. Ikumbukwe utajiri siku zote ni mzuri kama utazingatia Masharti ila ni mbaya kama utakiuka masharti kwani ni wengi sana waliisha potea kwa njia za kafara akiwemo Steven Kanumba, Alex Michael, Michael Jackson na wengine wengi.Kujiunga na jumuhia hii unatakiwa uwe na umri kuanzia miaka 21 kwa mwanaume na mwanamke miaka 22 uwe mtu mwenye akili timamu na uwezo wa kulipia ghalama za usajili kwa halie tayari namba 0769 900238.
 
Mjiunge kwa Yesu.Mtapata dunian myatakayo,na mkienenda vzur mtaurith uzma wa milele
 
FREEMASONRY TANZANIA
JINSI YA KUJIUNGA NA JUMUIYA YA FREEMASONRY TANZANIA
-Freemason kamwe aina ubaguzi wa rangi wala kabila aina ubaguzi wa dini wala jinsia uwe mwanamke au mwanaume Unaweza kuwa mwanachama.
-Kujiunga na jumuhiya hii kunakwenda na mambo mengi sana kama wewe sio mtu uliedhamilia kwa dhati inaweza kuku ghalimu katika maisha yako , Jumuhiya hii uwajali na kuwathamini wa wanachama wake kwa uwalimbikizia Utajiri na kuwapa Umaarufu watu wake
-Kwa mwanamke unatakiwa uwe na umri kuanzia miaka 23 kupanda juu na kwa mwanaume umri kuanzia miaka 21 kupanda juu
-Freemason uinua makanisa mbali mbali pia Uinua wachungaji kwa na kuwapa karama ya kutenda miujiza
-Freemason Umtoa mwanachama wake katika dhiki na kumpa furaha ya milele Utajiri usio na kikomo
-Freemason Uwabeba watu na kuwapa Umaarufu
JIUNGE NASI PIGA 0762 411690
 
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani

Kujiunga ni rahisi sana.mziki unakuja katika kutimiza masharti ya kupata mafanikio uyatakayo. moja ya masharti ni kuuwa watu wako wa karibu kama wazazi au ndugu zako. utaweza wew??
 
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani

Kujiunga na Freemason ni rahisi sana Chukua mwiko wa kujengea nyumba wanaotumia mafundi. Anza kujenga ukiwa peke yako bila msaada wa kibarua, jenga jingo mpaka liishe, hakika sasa UMEKUWA FREEMASON, hongera!
 
Back
Top Bottom