Msaada jamani jinsi ya kujiunga na freemason

Msaada jamani jinsi ya kujiunga na freemason

Arstotle

Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
45
Reaction score
10
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani
 
Mimi naingiza watu freemason......nitafute....
 
Usitafte laana ya kujitakia mkuu.Bora ujifanye haujui kuliko waanze kama asingekuwa yule?AU ni wewe mwenyewe kamanda?Achana na upuuzi huo mkuu.Bora ufe ukiwa maskn.

Mmmmmh....kwani ukijiunga unakuwa tajiri.....?
 
kumbe bado unasoma!! Freemasons ni chama la vibopa wenye pesa. sasa kweli wewe utaweza? kitu kingine kama unataka kujiunga ili ufanikiwe mambo fulani kama pesa , sahau kabisa. sababu wewe ndio utatakiwa kutoa pesa baada ya kujiunga.
 
Nashukuru kwa maoni yenu ila hata muda huu mtu mmoja amenipigia simu kuuliza hilo swala
 
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani

Kuna njia moja tu ya kumfikia Yehova, nayo ni Yesu Kristo (Iesus kristus). Hata ukipewa dunia nzima na mali zote zilizomo bila Yesu ni bure!! ni kujilisha upepo. Yesu ni kila kitu.
 
sitaki kuamini nilichokisoma
sitaki kushiriki nilichokisoma
sitaki kuamini msomi kama ww unataka kuwa lango la giza
sitaki kuamini umeshindwa kuwashauri
njia wanayotaka kupita itawaletea majuto maishani
oooooooh maskini
''watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa''
 
Kuna njia moja tu ya kumfikia Yehova, nayo ni Yesu Kristo (Iesus kristus). Hata ukipewa dunia nzima na mali zote zilizomo bila Yesu ni bure!! ni kujilisha upepo. Yesu ni kila kitu.

Mwenzako anataka freemason wewe unaleta habari gani sijui!
 
Jamani wanajamvi naomba msaada jinsi ya kujiunga na freemason kwani marafiki zangu wengi wamekuwa wakinifuata niwaelekeze jinsi ya kupata namba za freemason na kujiunga na freemason kwani mimi niko maeneo ya vijijini ila ninasoma chuo hivyo wanajua kuwa mimi najua hiyo mambo kwani natoka mjini hivyo anayejua naomba anisaidie jamani

huna lolote zaidi ya kutaka kujiunga tu. Na hakika utakufa!
 
Ulipo tayari umeshajiunga!ujiunge vp tena?maana mawazo na fahamu zako tayari ziko huko!Kawatoe sadaka ndugu zako na wazazi wako pamoja na familia yako!hapo utasajiliwa.
 
we waambie watatafutwa tu na wenyewe ,( vigezo na mashart kuzingatiwa)
 
Mawazo ya msomi haya. Sijui asiyesoma atakuwaje!
Hujasoma, hujatafiti, hujadadisi kuhusu Freemason na wala hujawadadisi wanaotaka kuingia: Kwa nini, kwa sababu gani, wanafahamu nini....!
 
Back
Top Bottom